Kukumbushia... wabongo jamani duh!

Kukumbushia muhimu

1. Kunaondoa stress
2. Kunasaidia kubadili mboga bila madhara makubwa
3. Kama ndiye uliyempenda kikweli inakupa kuonja bila gharama.
4. Hutumii nguvu kupanga mashambulizi.

Naona umesahau methali isemayo ' mahawara hawaachani'
Ama kweli wewe ni mkali.
 
....dahh, umenikata stimu zote MwanajamiiOne....hukuwa 'malaya' bana, you were only a victim of circumstances...
Arrgh, ushaichakachua thread...utamu wote kwisha. Am out...

Hapana Soulmate, mie nimequote description ya Smiles alosema kukumbushia ni umalaya. Simaanishi kuwa mie ndo nimesema plz hun come back utuelimishe zaidi!


Pengine tujiulize kwanza na kujiwrka sawa .... Kukumbushia inaanzia wapi?
1. Je ni mpaka muachane rasmi kwa kupeana talaka iwe ya mdomo au maandishi/ muachane rasmi kwa kutaarifiana.... Kisha mtu anakuja kukuomba kukumbushia ?
2. Au is lazima - maana kuna mwingine mnawezakuwa hamjarasmisha kuachana but matendo na vimbwanga ushaonyeshwa na akina tomaso sie mpaka tuonyeshwe wazi kuwa hatutakiwi, sasa katika kile kipimdi ambacho bado hujadhihirishiwa kuwa hutakiwi, akija (kwake yeye anakumbushia wakati wewe unafikiria kurutubisha penzi linaloashiria kufa!) Je hii inakuwaje?
 
Last edited by a moderator:
Hapana Soulmate, mie nimequote description ya Smiles alosema kukumbushia ni umalaya. Simaanishi kuwa mie ndo nimesema plz hun come back utuelimishe zaidi!


Pengine tujiulize kwanza na kujiwrka sawa .... Kukumbushia inaanzia wapi?
1. Je ni mpaka muachane rasmi kwa kupeana talaka iwe ya mdomo au maandishi/ muachane rasmi kwa kutaarifiana.... Kisha mtu anakuja kukuomba kukumbushia ?
2. Au is lazima - maana kuna mwingine mnawezakuwa hamjarasmisha kuachana but matendo na vimbwanga ushaonyeshwa na akina tomaso sie mpaka tuonyeshwe wazi kuwa hatutakiwi, sasa katika kile kipimdi ambacho bado hujadhihirishiwa kuwa hutakiwi, akija (kwake yeye anakumbushia wakati wewe unafikiria kurutubisha penzi linaloashiria kufa!) Je hii inakuwaje?

......kwakweli kuna sababu nyingi sana zaidi ya kukumbushia utamu zinazowapelekea "ex-es" au hata 'sex partners' (wale wanaosema -with no strings attached) mfano school mates, workmates, hata wanywaji pamoja...ku do tena baada ya 'leave of absence'...

MwanajamiiOne, mada hii ni deep na inahusisha kundi kubwa 'wanaojikumbushia' zaidh ya ilivyojibiwa kiasi kwamba hayo maswali yako labda uyaelekeze kwa Mzee Mwanakijiji kwa ufafanuzi na mchanganuo zaidi ingawa hata nae alishaifafanua kwa urefu na kuhitimisha na swali iwapo ni kutoridhishwa na wa sasa, au tamaa tu vya vilivyopita....na faida au hasara zake.
 
Last edited by a moderator:
Kukumbushia muhimu

1. Kunaondoa stress
2. Kunasaidia kubadili mboga bila madhara makubwa
3. Kama ndiye uliyempenda kikweli inakupa kuonja bila gharama.
4. Hutumii nguvu kupanga mashambulizi.

Naona umesahau methali isemayo ' mahawara hawaachani'

Nimekusoma ila kuna madhara yake tena makubwa! Mwenye chake akijua anaweza panga ddeal la kukuondoa uhai. Pamoja na hayo mimi ni mkumbushaji mzuri kwa kuwa sijawahi kuachana na mtu kwa ubaya.
 
Back
Top Bottom