Kweli tulipata bahati mbaya sana kuwa na rais wa hivi ..Rais anayeogopa kuamini anachokisimamia, anyway Ukawa ipo tayari.
Mkuu;
Kinana anahusika kwa sababu ni mjumbe wa Kamati Kuu.
Ninaambiwa Kamati Kuu huwa hawapigi kura bali wanajadili na kukubaliana!
Mwenyekiti wa chama ana nguvu yake na pia mkuu wa nchi nae ana nguvu yake hasa kwenye nchi zetu za kiafrika zilizojaa ufisadi
CCM wana mtaji wa kuanzia. Nao ni huu!!!!! Wale wote waliofanya mikutano ya kampeni hadharani ya kukusanya wadhamini wakatwe mara moja. Tumeona wakijinadi huku kwani CCM wameshaanza kampeni? Hawahitaji nguvu sanaaa. Hii yenyewe inatosha kupunguza utitiri