ililkuwa kama zile sinema za akina rambo na waigizaji wengine,tbc kwa kile cha kulinda maslahi ya wakubwa wakaamua kukatiisha kurusha matangazo kwa sababu mabere marando alikuwa akifichua ufisadi wa kikwete,watu walishindwa kuzuia hasira zao na kuanza hata kmtupia makopo ya maji mtangazaji na kada wa chama marini hassan marini ambaye aliokolewa na vyombo vya usalama,
tbc eleweni kuwa watanzania si mabwege tena
tbc eleweni kuwa watanzania si mabwege tena