Quarterpin
JF-Expert Member
- Mar 19, 2013
- 1,253
- 1,083
Jaman hii ni kero sasa naona TANESCO wana mpango wa kutuharibia vitu manake wanakata umeme kila wakati ukiwaka haliishi lisaa wanarudisha wanakata tena siku nzima.
Hivi kuna mgao usio rasmi au ndio watu wanakomoana kupitia vitalu vya gesi?
Hivi kuna mgao usio rasmi au ndio watu wanakomoana kupitia vitalu vya gesi?