Kuna raha ya kuangalia mpira lakini mchezaji anayepiga chenga, anayepiga kanzu na mwenye mashuti makali kuna raha yake zaidi kumuangalia!!!! sasa ishu ya kitandani pia kuna manjonjo yake ni je ni lazima mwanamke akate kiuno au wote wawili, raha ikoje na karaha kwa wasiokata viuno????