Job Richard
JF-Expert Member
- Feb 8, 2013
- 3,868
- 2,178
Katika maisha ukihitaji kusonga mbele usikubali kukaa nyumba ya bure.
Ukichunguza kwa umakini kuanzia wafanyakazi wote waliopewa nyumba za bure mpaka kustaafu kwao bado walikuwa wakiishi humo mwisho wanahamaki hana hata kiwanja.
Vijana wenzangu kama una nguvu zako usikubali kuishi nyumba ya bure. Wengine ndio wajingaaaa kabisa, anapewa nyumba na wakwe zake anakubali; huko ni kuolewa ukweni aiseeee!
Mwanaume kupambana chochote kianzie kwako, ni raha ukanunua uwanja kwa pesa ya jasho lako ukajenga mwenyewe.
Ukichunguza kwa umakini kuanzia wafanyakazi wote waliopewa nyumba za bure mpaka kustaafu kwao bado walikuwa wakiishi humo mwisho wanahamaki hana hata kiwanja.
Vijana wenzangu kama una nguvu zako usikubali kuishi nyumba ya bure. Wengine ndio wajingaaaa kabisa, anapewa nyumba na wakwe zake anakubali; huko ni kuolewa ukweni aiseeee!
Mwanaume kupambana chochote kianzie kwako, ni raha ukanunua uwanja kwa pesa ya jasho lako ukajenga mwenyewe.