Mzizi wa Mbuyu
JF-Expert Member
- May 15, 2009
- 7,323
- 6,810
Jamani mie nashangaa, kuna watu akiingia ****** kujisaidia hukaa kuanzia nu saa hadi saa nzima!!
Huwa nashangaa wanafanya nini muda wote huo kama ni haja kubwa ikitoka si basi ikija tena si utarudi?
Yaani kama mnatumia choo kimoja na yeye ndiyo katangulia kuingia umekwisha!! atakaa humo weee huku wewe umebana makalio mno na unatembea kama unaenda kufunga penati....ili usijichafue, lakini waapi hamalizi! atakaa weeee!!!!!!
Jamani, mie nadhani ukiingia ****** ukishachomoa jiwe lako ondoka!! ukijisika tena si utarudi??!....
Huwa nashangaa wanafanya nini muda wote huo kama ni haja kubwa ikitoka si basi ikija tena si utarudi?
Yaani kama mnatumia choo kimoja na yeye ndiyo katangulia kuingia umekwisha!! atakaa humo weee huku wewe umebana makalio mno na unatembea kama unaenda kufunga penati....ili usijichafue, lakini waapi hamalizi! atakaa weeee!!!!!!
Jamani, mie nadhani ukiingia ****** ukishachomoa jiwe lako ondoka!! ukijisika tena si utarudi??!....