Habari zenu,
Nipo hapa JF kuinteract na watu naheshimu kila mtu, Kama wewe unanichukulia tofauti nakupa pole sana.
Kuishi na watu wenye tabia tofauti ni kazi, nimejifunza jana na ninajaribu kwa mara nyengine tena.
Jana kuna watu walinitamkia maneno na kuonyesha wamefurahi mimi kusepa, siwezi kuwajibu watu hao sababu yamimi kurudi humu.
Kuanzia sasa sitojibu mtu anaeniuliza "Wewe jana si uliaga, inakuaje bado upo".
Ukiniuliza swali hilo nakuhesabu kuwa wewe ni Hater, na mimi Mjanja M1 huwa sijibu ma-hater.
Huu ni mtandao wa Tajiri Max, yeye ndio mtu pekee anapaswa kuniuliza hilo swali kwasababu namjazia Server zake.
KAMA UNAJIJUA WEWE SIO TAJIRI MAX AU HAUNA UNDUGU NA TAJIRI MAX BASI KAA KIMYA.
Uzi Tayari.
Mjanja M1 kwasasa napatikana Kuala Lumpur Malaysia 🇲🇾
Nipo hapa JF kuinteract na watu naheshimu kila mtu, Kama wewe unanichukulia tofauti nakupa pole sana.
Kuishi na watu wenye tabia tofauti ni kazi, nimejifunza jana na ninajaribu kwa mara nyengine tena.
Jana kuna watu walinitamkia maneno na kuonyesha wamefurahi mimi kusepa, siwezi kuwajibu watu hao sababu yamimi kurudi humu.
Kuanzia sasa sitojibu mtu anaeniuliza "Wewe jana si uliaga, inakuaje bado upo".
Ukiniuliza swali hilo nakuhesabu kuwa wewe ni Hater, na mimi Mjanja M1 huwa sijibu ma-hater.
Huu ni mtandao wa Tajiri Max, yeye ndio mtu pekee anapaswa kuniuliza hilo swali kwasababu namjazia Server zake.
KAMA UNAJIJUA WEWE SIO TAJIRI MAX AU HAUNA UNDUGU NA TAJIRI MAX BASI KAA KIMYA.
Uzi Tayari.
Mjanja M1 kwasasa napatikana Kuala Lumpur Malaysia 🇲🇾