Hi wadau. Mi mgeni sana humu ndani so kama vipi ikikosea natanguliza msamaha; B4 kuwa member niliwahi soma issue inahusu namna ya kujua kama mwenza wako ana mawasiliano na mtu mwingine na nikamtonya rafiki yangu mmoja, sasa ananisumbua sana anataka kujua the way to do that. Nakumbuka kwenye hiyo isshu kulikuwa na mtu anaeleza kuwa kuwa kuna technology hiyo ukiwa na simu yene GPRS kama sikosei,,,tafadhali saidia.