Kujisaidia haja ndogo yenye rangi ya njano.....

Unga wa Kitarasa

JF-Expert Member
Apr 3, 2012
398
99
habari wadau wa jf ebana me tatizo langu nikujisaidia mkojo wenye rangi ya njano yaani mpaka some tym inaniboa embu fanyeni kuni help bhasi kwa hili plzz ladies en gentlemen
 
Mi sio mtaalam, ila najua ni ukosefu wa maji.
Wataalam wanashauri unywe kwa uchache lita 3 za maji kwa siku. Sasa hao ni wataalam wa ulaya ambako hamna joto. Kama uko bongo nafikiri inabidi unywe mengi zaidi.
Kwa kuanza jaribu kugugumia lita nzima ya maji first thing in the morning
 
Mi sio mtaalam, ila najua ni ukosefu wa maji.
Wataalam wanashauri unywe kwa uchache lita 3 za maji kwa siku. Sasa hao ni wataalam wa ulaya ambako hamna joto. Kama uko bongo nafikiri inabidi unywe mengi zaidi.
Kwa kuanza jaribu kugugumia lita nzima ya maji first thing in the morning

ushauri mzuri lkn wabongo wanaweza?
 
Mi sio mtaalam, ila najua ni ukosefu wa maji.
Wataalam wanashauri unywe kwa uchache lita 3 za maji kwa siku. Sasa hao ni wataalam wa ulaya ambako hamna joto. Kama uko bongo nafikiri inabidi unywe mengi zaidi.
Kwa kuanza jaribu kugugumia lita nzima ya maji first thing in the morning
mwili unakwmbia kuwa umekosa maji
 
amber colour (njano) ni rangi ya kawaida katika mkojo. kama kungekuwa na damu au mwekundu tungelisema unatatizo. hiyo ni rangi ya kawaida ya mkojo. usihofu!
 
mi nahisi utakuwa na jaundice ambayo inaweza sababishwa na matatizo kwenye ini, nakushauri uende ukafanye liver function test in the time being piga miwa kwa sana
 
Back
Top Bottom