Rog chimera
JF-Expert Member
- Apr 28, 2018
- 347
- 546
Kumeibuka wimbi la watu kujifunza programming na kujiaminisha kwamba jambo hili linawezekana
Ukweli ni kwamba wengi wanaopitia njia hii wanakosa foundation ya CS na wanajikuta wamekariri tu programming languages na namna ya kutumia library kufanya wanayo kusudia. NO wonder wengi wanopitia njia hii wameishia kwenye web development tena frontend.
Ukiwapeleka kwenye vitu technical zaidi vinavyohitaji kuelewa concept za ndani za programming na mambo ya DS na algorithms asee utawaona wana haha.
Ushauri wangu ni kuwa japokuwa resources za kujifunza misingi ya CS zimejaaa mtandaoni, ni ngumu mno kuji commit kuhakikisha unajifunza na kuelewa wewe mwenyewe bila usaidizi wa mentor na uwepo wa supporting community kama inayopatikana chuo.
Kwaiyo kama una interest na CS na tech kwa ujumla, UDSM CS/CE, UDOM SE,DIT CE. (Sijui kama wana CS.)
MAKERERE CS/CE, Uni of Nairobi CS,
JKUAT CS. na SUA informatics( sina uhakika na course content yao ila naskia ni CS /CE oriented na sio IT oriented).
Sidhani kama Open University na RUCU wako
Ukweli ni kwamba wengi wanaopitia njia hii wanakosa foundation ya CS na wanajikuta wamekariri tu programming languages na namna ya kutumia library kufanya wanayo kusudia. NO wonder wengi wanopitia njia hii wameishia kwenye web development tena frontend.
Ukiwapeleka kwenye vitu technical zaidi vinavyohitaji kuelewa concept za ndani za programming na mambo ya DS na algorithms asee utawaona wana haha.
Ushauri wangu ni kuwa japokuwa resources za kujifunza misingi ya CS zimejaaa mtandaoni, ni ngumu mno kuji commit kuhakikisha unajifunza na kuelewa wewe mwenyewe bila usaidizi wa mentor na uwepo wa supporting community kama inayopatikana chuo.
Kwaiyo kama una interest na CS na tech kwa ujumla, UDSM CS/CE, UDOM SE,DIT CE. (Sijui kama wana CS.)
MAKERERE CS/CE, Uni of Nairobi CS,
JKUAT CS. na SUA informatics( sina uhakika na course content yao ila naskia ni CS /CE oriented na sio IT oriented).
Sidhani kama Open University na RUCU wako