Kufuatia uzoefu wangu kupitia ndugu jamaa na marafiki, na pia maneno yanayosemwa sana mitaani ni kwamba hivi sasa asilimia ya wanawake kujifungua kwa upasuaji imekuwa kubwa sana tofauti na zamani
Na kwa uchunguzi wangu mdogo kujifungua huku kwa operation kunatokea zaidi hapa DSM na mikoa mikubwa kama Arusha, Mwanza na Mbeya.
Na kana kwamba haitoshi upasuaji huo hutokea zaidi hospitali za binafsi au hospitali za rufaa kwenye huduma fast track kama Muhimbili
kwanini imekuwa hivi
Je ni nyakati zimebadilika aina ya vyakula,madawa na mazingira yanafanya akina mama wanashindwa kujifungua kawaida?
Je ni njia ya kupunguza uzazi kwa watu kuzaliana kwa kasi? (inaaminika operation mwisho watoto watatu,na once operation always operation)
Je ni mbinu ya hospitali kujiongezea kipato(inaaminika operation is very expensive na inalipa zaidi,na Drs wanalipwa zaidi kwa kila upasuaji iwe private au gvt huduma ya fast track)
Je ni mambo ya kisasa, akina mama wanataka wenyewe upasuaji kwa kuhofia uchungu na ''kupanua njia''
Naomba mawazo yenu wadau................mnalionaje hili hasa akina mama
Na kwa uchunguzi wangu mdogo kujifungua huku kwa operation kunatokea zaidi hapa DSM na mikoa mikubwa kama Arusha, Mwanza na Mbeya.
Na kana kwamba haitoshi upasuaji huo hutokea zaidi hospitali za binafsi au hospitali za rufaa kwenye huduma fast track kama Muhimbili
kwanini imekuwa hivi
Je ni nyakati zimebadilika aina ya vyakula,madawa na mazingira yanafanya akina mama wanashindwa kujifungua kawaida?
Je ni njia ya kupunguza uzazi kwa watu kuzaliana kwa kasi? (inaaminika operation mwisho watoto watatu,na once operation always operation)
Je ni mbinu ya hospitali kujiongezea kipato(inaaminika operation is very expensive na inalipa zaidi,na Drs wanalipwa zaidi kwa kila upasuaji iwe private au gvt huduma ya fast track)
Je ni mambo ya kisasa, akina mama wanataka wenyewe upasuaji kwa kuhofia uchungu na ''kupanua njia''
Naomba mawazo yenu wadau................mnalionaje hili hasa akina mama