sky soldier
JF-Expert Member
- Mar 30, 2020
- 5,407
- 19,070
Nimekuwa nikiona sana kuna kukosekana kwa uelewa juu ya utofauti wa mtu aliejiajiri (self employed) na mmilliki wa biashara (cusiness owner)
Mtu aliejiajiri ni mtu anaefanya shughuli zake yeye mwenyewe kwa asilimia kubwa ili kuzalisha kipato, mfano ni mangi mwenye duka, mtu mwenye duka anaeuza yeye kwa asilimia kubwa, fundi simu, wanaotengeneza mabango, n.k. Wengi hawana wafanya kazi na hata kama wapo bado watakuwepo kwa asilimia kubwa directly.
Wamili wa biashara (business owners) hawa wanakusanya rasili mali pamoja na kuzi organize ili kupata faida, huyu ana ajiri watu wamfanyie kazi, hapa ndipo kuna wale wenye car wash zao mtu anaenda jioni kukusanya hesabu yake kutoka kwa vijana kama 10 aliowaajiri n.k, hapa ndipo wanaingia kina Mo, Bakhresa, Gsm, vunja bei, n.k Wafanya kazi wao wanawahi kuamka kwenda kuwazalishia pesa huku wao hata wakiuchapa usingizi shuguli zinaendelea.
Waliojiajiri wengi hapa tz miaka nenda rudi unamkuta yeye ndie anaetoka jasho kwa asilimia kubwa kwenye biashara yake bila kupiga hatua ya kuwa business owner (mmiliki wa biashara).
Asikwambe mtu kujiajiri ni utumwa, yani muda wako na nguvu zako zitanyonywa mno tofauti na alieajiriwa ambae anaingia kazini saa 2 na kutoka saa 11, ana mshahara stable unaokua, anaweza kupata promotion, anapumzika umamosi, jumapili, siku kama 20 za sherehe za serikali na mwezi mzima anapewa likizo.
Kwa wenzetu, mtu akijiajiri anakubali kuwa mtumwa ili kufikia lengo la kuwa mmiliki wa biashara ila nashangaa hapa bongo, mtu kajiajiri miaka zaidi ya 10 yani bado hana lengo la kuwa mmiliki wa biashara.
Mtu aliejiajiri ni mtu anaefanya shughuli zake yeye mwenyewe kwa asilimia kubwa ili kuzalisha kipato, mfano ni mangi mwenye duka, mtu mwenye duka anaeuza yeye kwa asilimia kubwa, fundi simu, wanaotengeneza mabango, n.k. Wengi hawana wafanya kazi na hata kama wapo bado watakuwepo kwa asilimia kubwa directly.
Wamili wa biashara (business owners) hawa wanakusanya rasili mali pamoja na kuzi organize ili kupata faida, huyu ana ajiri watu wamfanyie kazi, hapa ndipo kuna wale wenye car wash zao mtu anaenda jioni kukusanya hesabu yake kutoka kwa vijana kama 10 aliowaajiri n.k, hapa ndipo wanaingia kina Mo, Bakhresa, Gsm, vunja bei, n.k Wafanya kazi wao wanawahi kuamka kwenda kuwazalishia pesa huku wao hata wakiuchapa usingizi shuguli zinaendelea.
Waliojiajiri wengi hapa tz miaka nenda rudi unamkuta yeye ndie anaetoka jasho kwa asilimia kubwa kwenye biashara yake bila kupiga hatua ya kuwa business owner (mmiliki wa biashara).
Asikwambe mtu kujiajiri ni utumwa, yani muda wako na nguvu zako zitanyonywa mno tofauti na alieajiriwa ambae anaingia kazini saa 2 na kutoka saa 11, ana mshahara stable unaokua, anaweza kupata promotion, anapumzika umamosi, jumapili, siku kama 20 za sherehe za serikali na mwezi mzima anapewa likizo.
Kwa wenzetu, mtu akijiajiri anakubali kuwa mtumwa ili kufikia lengo la kuwa mmiliki wa biashara ila nashangaa hapa bongo, mtu kajiajiri miaka zaidi ya 10 yani bado hana lengo la kuwa mmiliki wa biashara.