kuizuia Katiba Inayopendekezwa isipite ni sawa na kuzuia Tsunami kwa kutumia mikono.

Una njia ya kuchekesha sana kukubali kuwa umemaliza hoja.
Iwapo huna hoja sawa kapumzike tu ungojee upewe ----- mwengine uulete hapa.
 
Iwapo atatokea mtu na kunishauri kuhusu hilo nitamuelewesha kwanini apige HAPANA na uamuzi utakuwa wake mwenyewe.
 
Iwapo atatokea mtu na kunishauri kuhusu hilo nitamuelewesha kwanini apige HAPANA na uamuzi utakuwa wake mwenyewe.

Kkura itapigwa ya NDIYO nakushangaa wewe kupoteza muda wako bure wakati katiba inapita hiyo tena mchana kweupee,watanzania kibao wataunga mkono.
 
Nawashangaa baadhi ya watu humu ndani wanapoteza muda wao mwingi kuikosoa katiba inayopendekezwa lakini cha ajabu kubisha kwao wala hakuna ushahidi wowote wanaouweka juu ya hoja zao wanazozitoa, na hii inaonyesha dhahiri kuwa watu wa namna hii wanapinga ilimradi waonekane wanajua kuongea ama wametumwa na baadhi ya wanasiasa wasioitakia mapenzi mema na hii nchi.

Kitu kingine watu hawa wamesahau kwamba Katiba hii sio mabishano ya vyama vya siasa, kwani itakuwa ni kwa faida ya watanzania wote vizazi hadi vizazi, ni vema unapobisha kitu uwe walau umekisoma na ukagundua mapungufu fulani kama yapo kisha ukauliza watu waweze kukusaidia kukufafanulia ili mwisho wa siku upate kuelewa na kumaliza unishi usio na maana yoyote humu JF.

Serikali yetu wala haijakurupuka kuuanzisha mchakato huu na Sheria zimetumika vema tangu kuanza kwa mchakato huu, sasa watu wao kazi yao ni kubisha tuuuu tena wengine wanapost picha zisizo na maana ambazo wanazikwapua toka Google, sasa mi naona huku ni kuishiwa hoja, kama katiba hii ni mbaya je hiyo ya kwenu iliyo nzuri iko wapiiiiiiii?

Ndo maana namalizia kwa kusema kuwa, kuendelea kuipinga Katiba Inayopendekezwa wajameni ni sawa sawa na KUZUIA TSUNAMI KWA KUTUMIA MIKONO, jambo ambalo mwisho wa siku tunajua kwamba hutofanikiwa ng'ooooooo.

Ndo maana maandiko matakatifu kama Biblia yanasema kuwa Hatimaye mwisho mwishowe wema utashinda tuuuu.

Ewe mtanzania kuwa mzalendo, mabishano yasiyo na maana kuhusu katiba hii hayakusaidii bali utakuwa unajipotezea muda wako kwa kitu ambacho unajua wazi wazi kuwa ni kizuri na kwa faida ya wote hata wewe unayeipinga.

"TO CRASH THE PROPOSED CONSTITUTION IS LIKE TO PLANT THE SEEDS OF YOUR OWN DESTRUCTION IN YOUR FUTURE" isome katiba hii na kuielewa kwa manufaa yako na vizazi vyako.

Nawasilisha!

Wagonjwa wa AKILI wapo wengi
 
Sasa hili jambo la kuweka HAPANA kwenye kupiga kura kuna maana gani?
Ilikuwa hakuna haja ya kupiga kura wala kufanya kampeni iwapo mna hakika kuwa watu wote wanaikubali.
 
10408656_791167674266173_4239474630871864397_n.jpg
 
Kkura itapigwa ya NDIYO nakushangaa wewe kupoteza muda wako bure wakati katiba inapita hiyo tena mchana kweupee,watanzania kibao wataunga mkono.

Wa kushangaza ni wewe hapa, iwapo inapita sawa, sasa kutaka sie tulio na msimamo tofauti na wako tuwe sawa na wewe inasaidia nini kwako au kwetu?
 
Sijamwambia mtu mgonjwa wa akili narudia WAGONJWA WA AKILI WAPO WENGI KWELI

Usijifanye kukwepa hoja ya msingi ya mdau aliyekuuliza swali wewe ni dokta?na iweje kwenye JF kuwe na wagonjwa hasa baada ya kile unachokitaka wewe kupingwa?? U might be one of those!!!!
 
Back
Top Bottom