brazakaka
Senior Member
- Mar 3, 2010
- 116
- 14
Heshima sana wakuu! Majina ya walioitwa kwenye usaili sekretarieti ya ajira gonga link hiyo hapo www.pmoralg.go.tz, www.utumishi.go.tz
Mkuu usaili huu ni kwa wale walioomba kazi chuo cha ustawi wa jamii
hizi kazi zipo au geresha kunauwezekano watu walishapelekwa kama volunteer. Masela mlioitwa msisite koma nao mdhibitishe kuwa watoto wa wakulima ni noma . Waone haibu wenyewe kuwaacha watu wenye umahiri kama ninyi. Lakini pia mkipata wajomba msibweteke muwe chachu yakuleta mabadiliko si kuwa wanasiasa. Tekeleza majukumu yenye tija kwa taifa ambayo kwayo yatajenga taifa linalojitegemea.