TAI DUME
JF-Expert Member
- Feb 20, 2014
- 8,859
- 23,119
Pesa ya boom iliniwesha kuwa na getho ambalo mpaka namaliza chuo sikiweza kuliacha. Mana baada ya miaka mitatu geto lilikuwa na kila kitu mpka naanza kazi niliendelea kukaa pale geto mpaka nilipooa ndio nikahama. Sema nilikuwa najibana mnp mana ndo ela pekee niliokuwa naitegemea