Lizaboni
JF-Expert Member
- Feb 21, 2013
- 33,894
- 20,372
Rais Magufuli atafumua mfumo mzima. CCM imezaliwa upya baada ya mafisadi kuwajibishwaTusubiri na ya UDA na DART
Rais Magufuli atafumua mfumo mzima. CCM imezaliwa upya baada ya mafisadi kuwajibishwaTusubiri na ya UDA na DART
Kwa tuhuma hizi nzito nilitarajia kusikia watu fulani wamesimamishwa au teuzi zao zimetenguliwa ila cha ajabu bado wako ofisini alafu tunaambiwa tumempata Sokoine!!!
Kwani wakati tunakosoa utawala wa JK ulikuwa unaona tuna hoja?Kuna watu wa ajabu kama nyinyi?!Haya yote uliyoandika sijaona wapi huyo uliyemlenga anahusika
achen blah blah nyinyi wafa maji. Mmeshikwa pabayaSalary Slip mbona unaongea kama umeachishwa kunyonya jana? CAG ameliibua, kamati ya Bunge inafuatilia ukweli wake kufahamu mkataba unasema nini hasa, nini kimekosewa nini kimepatiwa na nani wahusika. Sasa wewe mbona unataka kuvuka mto kabla haujaufikia. Punguza ashki za chuki na subiri kila mamlaka ifanye kazi yake, huo ndio uawala wa sheria, huwezi kuingilia jambo linaloshughulikiwa na Bunge. Bunge litatoa mapendekezo kama ilivyofanyika kwa Richmond na Escrow. Kama tunataka tukosoe kwa weledi basi angalau tuzifahamu taratibu zinasemaje na tusitake yatokee yanayotokana na ashki zetu.
shangaa na wewe,ukizingatia Kitwanga ameshawekwa kando kupisha uchunguziHaya yote uliyoandika sijaona wapi huyo uliyemlenga anahusika
achen blah blah nyinyi wafa maji. Mmeshikwa pabaya
Wewe ni mgonjwa sio bure! ebu niambie ni fisadi gani kawajibishwa mpaka sasa?Rais Magufuli atafumua mfumo mzima. CCM imezaliwa upya baada ya mafisadi kuwajibishwa
JPM and his company hawakurupuki, issue bado ipo kwa Kamati ya Bunge, and kwa taarifa yako huwa anachunguza kwanza kabla ya kuamua, give him time.Kwa tuhuma hizi nzito nilitarajia kusikia watu fulani wamesimamishwa au teuzi zao zimetenguliwa ila cha ajabu bado wako ofisini alafu tunaambiwa tumempata Sokoine!!!
Hahahha atakuwa Sokoine wa kuchonga huyo, Sokoine halisi yupo kaburini.Kasi ya kumtimua Mama Kilango ilifurahisha lakini Ligumi mhaaa haaa ha aaa eti Tanzania tumempata Sokoine wetu hata 2% bado hajamfikia.
Mkuu acha tuvute subira Yatatimia!Kwa tuhuma hizi nzito nilitarajia kusikia watu fulani wamesimamishwa au teuzi zao zimetenguliwa ila cha ajabu bado wako ofisini alafu tunaambiwa tumempata Sokoine!!!
JPM and his company hawakurupuki, issue bado ipo kwa Kamati ya Bunge, and kwa taarifa yako huwa anachunguza kwanza kabla ya kuamua, give him time.
JPM and his company hawakurupuki, issue bado ipo kwa Kamati ya Bunge, and kwa taarifa yako huwa anachunguza kwanza kabla ya kuamua, give him time.
Vua miwani ya mbao uone, mana mwenyezi Mungu hamfichi mnafikiHaya yote uliyoandika sijaona wapi huyo uliyemlenga anahusika
Taarifa ya CAG bungeni 2016 ilisema kuwa pana ubadhirifu mkubwa sana wizara ya ujenzi, je waziri wake alikuwa nani? Meli ya samaki waziri gani aliikamata? na baada ya hapo serikali ilipa fidia baada ya kushindwa kesi. Hv ni nani asojuma utajiri wa JOHN! Ndo mana imeandikwa kwanza boriti jichoni mwako harafu kibanzi kwa mwenzio pia Mungu hamfichi mnaki na bado madudu mengi ya jamaa.
Hapo hakuna hata miwani ya mbao, Magufuli and his team siyo watu wa kubadiri gia angani, anafanya kazi kwa data, the matter still on Bunge's, naamini na yeye anachunguza - give him time.Vua miwani ya mbao uone, mana mwenyezi Mungu hamfichi mnafiki
wewee ishu ni LUGUMI tuu haponi mtu hapa. Period!!Huna hoja, unakimbilia ku personalize issues, mi naongelea kuzifahamu taratibu kama hazieleweki kwako itakuwa vigumu kukusaidia. Unajidai 'nyinyi nyinyi' kama vile tunafahamiana. Jibu hoja acha vituko kama kweli kichwani uko timamu
Mungu ana makusudio kwa watu wake waliokuwa wameanza kulishwa matango pori kupitia vyombo vya habari kuwa amepatika malaika tena mtenda haki asiyestahili hata kukoselewa na ukimkusoa wewe si mzalendo bali una wivu tu na chuki dhidi yake.
Tumeaminishwa haangali sura,hana chama,anasimamia haki,hamuogopi mtu, n.k na zaidi tumuombe kwa mungu.
Hata hivyo,limeibuka jambo ambalo litawasaidi wengi kama si wote kujua ukweli halisi kuhusu mtu huyu na kama kweli anafanya mambo yanayostahili yeye kuombewa.
Mungu aliona asisubiri sana maana watu wake wanazidi kupotea.
NB: Kupitia mungu huyo huyo,vice versa is also true.
Tusubiri.