Hii Lugumi itakuwa kama meremeta na kagoda. Time will tell.Mkuu, nina imani yataendelea kuibuka mengi na mazito ambayo Magufuli hatoweza kuyagusa. Hapa leo wameleta kisingizio cha taarifa za majeshi/usalama lakini yataibuka mengine ambayo watakosa kisingizio.Tusubiri na taarifa ya CAG maana nayo itakuja na mengine.
Si muda mrefu watu watamchoka Magufuli.