Kalunya
JF-Expert Member
- Oct 5, 2021
- 13,324
- 18,479
Google zimejaaPicha iko wapi
Google zimejaaPicha iko wapi
si kwamba simjui, namjua vizuri tu mkuu ila nachosema "amekuzwa sana" kwa lengo la kutengeneza fedha.Nina
Ninazo Novel mbili za Marilyn Monroe, search Hilo Jina huko Facebook na Google utamwona,ni maarufu kuliko unavyofikiria
Vip ulikua unaishi naye miaka hiyo uko kwao?maana ikisemwa kila mtu haimaanishi watu wote duniani.Haku"tetemesha kila mtu" bana, wazungu wanajua ku-hype vitu sana.. wanajua kuuza habari, wanajua kutengeneza mada. they can make business out of nothing,
apo vitaandikwa vitabu, zitachezwa movie, zitatengenezwa conspiracy theory nyingi ili watu wapige hela.
ni kweli alikua mzuri, na kipaji kidogo,
kama tu hawa akina wema na akina hamisa.
dont believe everything they told you.