jMali
JF-Expert Member
- Nov 9, 2010
- 8,382
- 4,902
- Thread starter
- #21
Propaganda maana yake ni uongo, onyesha ni wapi katika hiyo post nimeandika uongo. Ukishindwa maana yake wewe ndio unapiga propaganda kuwa mimi napiga propaganda.Mara ya mwisho tunakutana hapa ulikimbia kwa kisingizio unaenda kulala kumbe ulikuwa unaenda kukusanya propaganda za kujaza server hapa. Ngoja nimalize majukumu ya jpili halafu nitarudi