WatakujaWakuu Kuna mwana aliniambia posho za polisi baadhi ya miezi hawapati ni kweli ama ni chai tu? na nasikia mambo ya salary kwao ni mazuri naomba kueleweshqa
Huu mshahara au posho?mshahara ni laki 2
Huo mshahara kila mwezi, baada ya makato askari polisi anachukua kama laki na 140 hivi. Posho mpaka makusanyo yatimie.Huu mshahara au posho?
Kama ni hivyo upolisi ni kazi ya laanahuo mshahara kila mwezi,baada ya makato askari polisi anachukua kama laki na 140 hivi.posho mpaka makusanyo yatimie.
Mkuu si Kuna posho zile lak 3 kwa mwez na vinywaj ila Kuna jamaa anasem Mara haziingizw hiv ni kwelo?huo mshahara kila mwezi,baada ya makato askari polisi anachukua kama laki na 140 hivi.posho mpaka makusanyo yatimie.
Dah We jamaa 🤣🤣🤣mshahara ni laki 2 kabla ya makato,posho mpaka makusanyo ya trafiki yafikie lengo kule tra,ndipo wanalipwa laki moja,isipotimia hawapati kitu.
kwani hujawahi kusikia wana njaa sana hawa watu??
ndio nakwambia hapa,niamini mimi.hakuna cha laki tatu wala nini ujanja ujanja tu.Mkuu si Kuna posho zile lak 3 kwa mwez na vinywaj ila Kuna jamaa anasem Mara haziingizw hiv ni kwelo?
laana kweli kweli sio masihara.Kama ni hivyo upolisi ni kazi ya laana
Na bado wanaipambania CCM ibaki madarakani ambayo imekataa kuwaongezea mishaharalaana kweli kweli sio masihara.
wewe fikiria mtu kama mroto na mikwara ile eti anapokea laki 7 kweli jaman!!!