Kuhusu Mwakyembe na Mwandosya this can be true kabisa!

dU! INASIKITISHA
Avatar yako inanikumbusha zama zile, jamaa alipoingia tu magogoni na kumteua jamaa yake kuwa PM, watu wa magazeti walipomwita jamaa na Edward kuwa "boys to men". Basi akafanya juu chini akapiga picha na waimbaji wa Boyz II Men. I do read alot from that picture.
 
Kila mtu atakufa; UKIUA KWA UPANGA, UTAKUFA KWA UPANGA!
Wanaodhani wakiua, ufisadi wao utafunikwa, wamepotea na wanajidanganya, DAMU YA MTU HAIPOTEI BURE! Nawashauri waliobuni huu mpango mchafu washirikiane nasi kuwaombea hawa watu wapone haraka. Maana hata kama habari hizi zisingekuwa wazi bado damu ingewaandama mpaka kufa kwao, dunia hii haitawatosha, watatamani ardhi ipasuke na kuwafunika.

Na huo mpango wa kuwachonganisha waislamu na wakristu hautafanikiwa. Ndugu zangu waaislamu ningewashauri wagundue kwamba kuna watu wanawatumia, kuna watu wanataka kuficha maovu yao kupitia uchonganishi. So wawe waangalifu
 
Maskini Mwakyembe 2nakuombea
Watashindwa wote kwa jina la yesu
Dr Slaa wasahau walijaribu wakashindwa hatataweza tena,makanisa yote yako mbele yake wamalizen wakristo ndo muende kwa x padri we2
Hv unajua cheo cha padri na mafunzo wanayopata co hvyo iz ufikirivo
HATUTISHIKI
MUNGU YU MBELE YA DR SLAA,MWAKYEMBE,MEMBE,MWANDOSYA,NA KILANGO AFU ZEY A OL CHRISTIAN
DAMU YA YESU ILIYOMWAGIKA MSALABAN ITAWAONGOZA
Na pepo la kuwaua litashinda kwa jina la Yesu
Glory b 2ze father,n 2ze son n 2ze holy spirity
B blecd.

Kwanza Padre Slaa atubie kwa kuvunja amri ya kuoa na kuiba mke wa mtu...tena hatujasikia harusi na yule bi mkubwa tayari ni mja mzito...duuh!
 
Mwakyembe ni Mnafiki na malaya wa kisiasa, hana tofauti na Samwel Sita!
Mkuu yale aliyoyaacha ndiyo yali save JK'S skin.Angeyaweka yote wazi,basi JK angekuwa directly implicated...Someone had to go,he allied himself with the president...Ndo wakam scapegoat EL.

Sasa kawa ka samaki na chambo.Bila ya samamki huyo kujuwa kuwa chambo ni mdudu mdogo tu atakaye mcost maisha yake.Mafioso style kama ni kweli wamemfanyia.
 
Kwanza Padre Slaa atubie kwa kuvunja amri ya kuoa na kuiba mke wa mtu...tena hatujasikia harusi na yule bi mkubwa tayari ni mja mzito...duuh!
Ha ha ha!Sheick Yahya wa JF bado yuko hai?Ama ni yule yule anazungumza from the grave?Maana naona huyu anafuatilia mambo ya vitandani zaidi teh teh teh teh!
 
alamsiki kaka, kilichokufanya ukaficha madudu ya serikali wakati unailipua richmond ndo matokeo yake haya kumbuka wenzio walisema 'hatukukutana barabarani' we kaa na uzalendo wako wa kinafki na huo ndio mshahara wake, alamsiki mkuu mie nawahi zangu sokoni kupeleka ndizi zangu....

samahani mkuu.. hapo kwenye red.. nimeongezea tu kumalizia sentensi.. .. manake avatar yako!!!..na ndizi zenyewe na mikogo ya jamaa anavyokokota Kifaa cha mchina-phoenix?
 
Dah Shehe Yahya...! ilikuwaje akashindwa kujitabiria kifo chake mwenyewe? kweli kinyozi hajinyoi!
 
Kutokana na maelezo haya ambayo ni ya muda kidogo, Mwakyembe alichoomba hakupata ulinzi na uchunguzi wa kina kuhusu njama hizi!!!hata hayo yanayomkuta kwa sasa ni njama za kummaliza tu maskini. Tz sijui tunaelekea siasa chafu kama hizi ufisadi wa hali ya juu wanasahau kuwa hawataishi milele na wakifa hizo mali na mipesa na majumba and all the might that they have hawatazikwa navyo wataenda kama walivyozaliwa...Pole Mwakyembe Mungu akujalie afya urudi nyumbani ukiwa umepona tuendeleze vita vya mageuzi
Mimi nashangazwa lakini,kama hawa watu walikuja na wakaenda kwa mganga huko Selous,Mwakyembe yeye alitaka apewe ulinzi wa aina gani?Nataka tu tuwekana sawa humu jamani.Ama alitaka apewe ulinzi wenye nguvu kubwa zaidi ya za huyo mganga?Maana sijapata picha halisi ya ulinzi aliouomba Mwakyembe based on the nature of the threats.
 
Mimi nashangazwa lakini,kama hawa watu walikuja na wakaenda kwa mganga huko Selous,Mwakyembe yeye alitaka apewe ulinzi wa aina gani?Nataka tu tuwekana sawa humu jamani.Ama alitaka apewe ulinzi wenye nguvu kubwa zaidi ya za huyo mganga?Maana sijapata picha halisi ya ulinzi aliouomba Mwakyembe based on the nature of the threats.

Mwakyembe anatafuta sympathy na cheap popularity...nimemshauri akafanye CD4 T cells count!
 
mkuu sio ngumu kuisoma wewe ndo mvivu wa kusoma.ina tatizo gani.?mbona inasomeka vizuri.?kama unaona ngumu kuisoma just itengenezee paragraph mwenye.alafu unasema eti "hii inakua ngumu sana kuisoma mpaka mwisho"ndo nyie mnakuja kukurupuka na kuandika upupu simply because hamjasoma mpaka mwisho kwa ajili ya uvivu wenu.mkuu tulia read btn the line,huku ukitafakari unachosoma sio kwenda kwenda tu ka bendera.kama ukipoteza the meaning the word above while unasoma at the end of the story hutaelewa .any way unawakilisha watanzania wengine ambao ni wavivu kusoma hata walichoandikiwa.

Haiitaji kuwa na akili nyingi kuona kuwa nilikuwa mtu wa pili kucomment post hii, Je unajua nilivyoikuta mwanzo ilikuwaje mpaka nikamshauri afanye editing? Acha kukurupuka, be a great thinker, na ufikiri kabla ya kucomment! Inaonekana ulikosa cha kuchangia kwenye mada at hand ukakurupuka kujibu comment yangu bile kuushirikisha ubongo kwanza, shame!
 
Hawa ccm bana,na zile story za unga unga ulionyunyizwa bungeni nadhani usiku wakati kikao hakuna pale Chenge alipofumaniwa akiwanga humo yamefikia wapi?Si nasikia mkemia mkuu sijui ni mjomba wake ama nani sijui wa Chenge yeye akasema ulikuwa sijui unga unga wa mahindi ama muhogo vile?Sasa nikajiuliza alienda kusonga ugali na unga kiduchu hivyo?

Hii nchi ya ajabu sana,wakati wa kupanda juu kimadaraka huwa wanakanyagana vibaya sana.Wote wanajipanga na wako very desparate.Mbinu ni nyingi mno.Sasa kama wabunge wenzako wanaweza kunyunyiza kama alivyofanya Chenge,then utalindwa vipi?Sana sana wangesimamia Chenge awajibishwe badala ya kuomba ulinzi ambao sijui ni wa aina gani given the fact kuwa ni ushirikina?
 
Ha ha ha!Sheick Yahya wa JF bado yuko hai?Ama ni yule yule anazungumza from the grave?Maana naona huyu anafuatilia mambo ya vitandani zaidi teh teh teh teh!

Nimeona huyu Mwa Kiwembe amenitaja sana! hivyo nimeamua nitoke live.:lol:
 
Mungu Hata lini utawaacha wasio haki na wadhalimu wawatese watu wako hata kuwaua?...
Eee Mungu uwe na huruma, uwakumbuke watu wako, uwalinde watu wako, uwatetee watu wako... Kuna faida gani kuona wachaMungu wako wakionewa?... Wakifa kila siku?.. Hata lini wasio haki watajitukuza juu yako?... Hata lini wataendelea kulikufuru jina lako?... Mungu simama onesha nguvu zako waokoe watu wako wanaokutumaini!..
Jioneshe basi nguvu zako, Thibitisha mambo makuu tuliyosikia umeyatenda kwa Baba zetu.....
Usimwache mdhalimu kujisifia nafsi yake akisema "sitaondoshwa, kiazi hata kizazi sitakuwamo taabuni" kinywa chake kimejaa laana na hila na dhuluma...
Uwakatilie mbali Ee Bwana wasio hata.. Uuvunje na utawala wa Shetani, Ee Mungu usiwe kiziwi, hali ya watu wako ni mbaya wateteee Eewe uonayye yote.. Amina
 
Ukiona mtu anaandika matusi usimwelewe vibaya haya mambo yanayoendele katika nchi yetu ni ya ki§#k¤@*u€€$*ma.. Hivi ni nini mustakabali wa nchi yetu ktk hali hii mbona kama inaendeshwa na watu wasio WaTanzania??????
Nani aniambie kwa hakika hatima ya nchi yetu????? Watu wanang'ang'ania Ushirikina tu badala ya haki na kujenga Taifa..... Unakera sana... Hici Kiwete wetu anafanya nini??????? kama ameshindwa si astepp down Bwana...
 
Mnataka kusema nje ya ile ripoti kuna lililoachwa?
Mkuu yale aliyoyaacha ndiyo yali save JK'S skin.Angeyaweka yote wazi,basi JK angekuwa directly implicated...Someone had to go,he allied himself with the president...Ndo wakam scapegoat EL.

Sasa kawa ka samaki na chambo.Bila ya samaki huyo kujuwa kuwa chambo ni mdudu mdogo tu atakaye mcost maisha yake.Mafioso style kama ni kweli wamemfanyia....You know they say keep your friends close and even your enemies closer.
 
Mkuu, mimi naamini tatizo ni lako wewe na Watanzania walio wengi sana ambao wanaamini kuwa wajibu wa kuanzisha na kumalizia kampeni dhidi ya ufisadi nchini ni wa akina Mwakyembe, Sitta, Slaa n.k. ila sisi wengine tubaki tukipenyeza hoja za kejeli na vijembe vya rejareja kwenye JF.

Walipotufikisha akina Mwakyembe kwa ujasiri mkubwa sana katika mapambano haya, panatosha sana na sisi tuendeleze kwa ujasiri uleule. Ni haohao akina Sitta, Mwakyembe ambao wameonyesha ujasiri wa hali ya juu kukataa malipo kwa Dowans pamoja na kwamba wako serikalini na suala hilo likabadilika mwelekeo!

Mimi naamini leo hii akina Dk. Mwakyembe wakiulizwa ni nini walikiweka kiporo katika suala la Richmond/Dowans, nina uhakika wanaume hao wataweka hadharani. Naamini hawaoni haja kufanya hivyo kwa kuwa hatuko serious; hatuko focussed na hatuna msukumo wa dhati wa kulimalizia suala hilo!

Nakumbuka mwaka jana, mwanafunzi wa sheria wa mwaka wa tatu wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam alinieleza kuwa walikuwa na Dk. Mwakyembe kwenye mhadhara maalumu wa somo la Katiba ambapo Dk. Mwakyembe aliwaelezea wanafunzi sababu zilizomfanya yeye na wenzake akina Selelii wasiseme yote.

Alisema Watanzania kwa ujumla wao ni watu waoga sana ambao kujitoa kwao kwa mapambano yoyote yale ni kwa bahati nasibu nasibu hivi. Ni rahisi sana kukuacha peke yako kwenye mataa halafu nwakakufuatilia kwa umakini kupitia MwanaHalisi au Raia Mwema! Hivyo Dk. Mwakyembe akasema mpambanaji yeyote makini lazima ajiwekee bima mwenyewe; ajitengenezee ulinzi wake mwenyewe ili mambo yakimgeukia na Watanzania wote wameangalia kwingine, ajinusuru kwa kuliweka lililobaki hadharani!

Hebu Human Rights Centre, Vyuo Vikuu, Vyama vya Wanasheria n.k. waiteni akina Mwakyembe watufafanulie haya! Msiseme watakataa, waliwahi kukataa lini? Mipango ya kuwaua hawa jamaa ipo kwa kuwa wanabeba siri nzito. Badala ya kuwa-engage intellectually, tunawakejeli huku tumevaa kanga kiunoni! Acheni vimbwanga hivyo jamani, havitufai watu wazima!
Mkuu hapo kwenye bold ndilo tatizo letu kubwa sisi miafrika!Tunataka tuona manufaa ya yale tunayoyapigania right here right now!Hivi kweli ni lazima upate sapoti kubwa unaposimamia ukweli?Na hiyo mentality ni mbaya.Wenzetu hapo ndipo walipoztuzidi.Kwasababu wanaplay part yao huku wakiweka maanani vizazi vijavyo.Wanajuwa someone will take over.Hatakama siyo right here right now.

Na ndiyo maana wenzetu wako mbali sana hata kwenye mambo ya sayansi.Kazi zao zinaendelezwa.Wanasayansi wapya wanatake over from where the past ones left.Generations after generations,wana buld up on everything.Kila anayekuja anaplay part yake bila kungoja shukrani ama umaarufu nk.

Sisi tunataka kuona tumekuwa mashujaa right here right now.Na wenzetu wengi wao tu ni baada ya kufa ndiyo kazi yao inakuwa recognised nk.Ni kwasababu wakati wanafanya hayo hawakujali kama kuna watakaokuwa nao ama la.They didnt care how people will look at them or think about them.

Pointi yangu ni kwamba,hiyo sababu si nzuri kabisa kutoka kwa Mwakyembe.Apiganie maslahi ya Taifa na vizazi vijavyo na historia itamuhukumu.Hayo ndiyo mambo unayokutana nayo unapokuwa mtumishi wa umma aliyekabidhiwa dhamana ya ulinzi wa rasilimali zetu na wananchi.Si kazi rahisi hata kidogo.Sasa kama haya yaliyotokea kama ni kweli huoni hakujuwa alichokisema?

Hao walinzi wake mwenyewe wako wapi na wamefanya nini?
Ombeni Mungu tu kuwa ni ugonjwa wa kawaida.La sivyo Mwakyembe mwenyewe ameanza kunidissapoint sana tu.Kwanza kama ni kweli alimimnya ripoti,basi ni dalili za wazi za ubinafsi.Tatizo kubwa sana kama nilivyoeleza kwenye first paragraph.
 
Back
Top Bottom