donlucchese
JF-Expert Member
- Mar 23, 2011
- 17,047
- 21,523
mimi ni mwanafunz wa mwaka wa kwnza katika chuo cha IFM hapa jijin dar. Wakati wa kuingia chuo sikuweza kupata mkopo kwa kuchelewa kurudisha fomu husika. Je,nitakapoingia mwaka wa pili nikaomba ninaweza kupata? Na je nitaomba kama continuing student au ntaomba kama freshers? Naomba msaada wenu