Kuhusu Mashine ya Kuatamisha mayai(Incubators) Majibu ya TRA

CHASHA FARMING

JF-Expert Member
Jun 4, 2011
7,789
8,920
Wakuu nilikuwa na mpango wa Kuagiza mashine kutoka China na nisha pata hadi Proformal Invoice, Ila baada ya kuwasiliana na Ma agent walinipigia ghalama za kufa mtu ikiwemo kodi, Ikabidi nifuatilie TRA makao mamkuu, na wlicho nijibu ni kwamba hazilipiwi Kodi, so kumbe ni usanii wa Ma agent kutaka cha juu, so kuweni makini sana na ma agent wa Bongo wizi mwingi sana
 
Agent wengi sio waaminifu. Mimi walitaka kunibambikizia gharama za kodi kwa vifaa vya hospitali visivyolipiwa kodi.
 
Jamaa ni wasanii sana, walinipigia ghalama za kutoa mzigo bandalini zinazidi mara 3 bei ya mashine yenyewe,
 
Na sijui Agent mwaminifi ni yupi make hata ghalama zingine kuacha kodi ni za kupandikiza na ukitaka kujua hilo wewe fanya mawasiliano na Agent zaidi ya wawili, kila mmoja anakuja na ghalama tofauti za Bandalini, utazani kila agent anatozwa ghalama tofauti
 
Taja jina la hiyo Kampuni kaka, hawa maajenti wengi siyo wakweli wana utapeli flani hivi!
 
Wakuu nilikuwa na mpango wa Kuagiza mashine kutoka China na nisha pata hadi Proformal Invoice, Ila baada ya kuwasiliana na Ma agent walinipigia ghalama za kufa mtu ikiwemo kodi, Ikabidi nifuatilie TRA makao mamkuu, na wlicho nijibu ni kwamba hazilipiwi Kodi, so kumbe ni usanii wa Ma agent kutaka cha juu, so kuweni makini sana na ma agent wa Bongo wizi mwingi sana[/
QUOTE]
sina uhakika na hili kwani agent anatoa quotation kuonyesha provision estimates tu.Na mzigo ukitumwa utapewa documents ambazo utampa agent wako ndo ataenda TRA,TPA,TBS, na sehemu nyingine akiwa na hizo docs zako na cost halisi zitatokana na hizo docs. Malipo hayo waweza fanya mwenyewe ila agent baada ya process ukamlipa agent fee peke yake.
 
kwani zinauzwa bei gani mkuu,
kuna my sister alishaga tapeliwa na mchungaji mmoja kutoka malawi kuwa angewaletea hizo machine, kala pesa kaingia mitini ikabaki hadithi.
 
Wakuu nilikuwa na mpango wa Kuagiza mashine kutoka China na nisha pata hadi Proformal Invoice, Ila baada ya kuwasiliana na Ma agent walinipigia ghalama za kufa mtu ikiwemo kodi, Ikabidi nifuatilie TRA makao mamkuu, na wlicho nijibu ni kwamba hazilipiwi Kodi, so kumbe ni usanii wa Ma agent kutaka cha juu, so kuweni makini sana na ma agent wa Bongo wizi mwingi sana[/
QUOTE]
sina uhakika na hili kwani agent anatoa quotation kuonyesha provision estimates tu.Na mzigo ukitumwa utapewa documents ambazo utampa agent wako ndo ataenda TRA,TPA,TBS, na sehemu nyingine akiwa na hizo docs zako na cost halisi zitatokana na hizo docs. Malipo hayo waweza fanya mwenyewe ila agent baada ya process ukamlipa agent fee peke yake.

kwa nini kila Agent anakuja na ghalama tofauti ukiachilia mbali zile fees zao?
 
kwa nini kila Agent anakuja na ghalama tofauti ukiachilia mbali zile fees zao?

Lazima ujue kuwa hizo ni cost estimates haziwezi kuwa sawa.

Pia watu wanachukua Hs code ya mzigo kisha wanafanya cost estimates tu.

gharama na estimates zinatofautiana kulingana na aina ya wakala mfano.
ukiwa na mzigo ambao haujai container lazima uwekwe pamoja na mizigo mingine ili ijaze container moja hivyo doc ya mzigo wako atapewa yule mwenye mzigo mkubwa na wewe unatakiwa ulipie consolidation fee ili upewe doc zako toka kwa consolidator.kila consolidator ana gharama zake kuanzia usd100 -usd 200 so hapo agent anaweza aka estimate tu na wakatofautiana na mwingine.
Agent mwingine anaweza weka documentation charges tofauti na mwingine kwani hayo ni makadirio tuu,docs zako zaweza kuwa na kasoro zikahitaji Alteration haifanywi bure unalipia.

Yapo mengi tu yanayoleta tofauti.
 
Lazima ujue kuwa hizo ni cost estimates haziwezi kuwa sawa.

Pia watu wanachukua Hs code ya mzigo kisha wanafanya cost estimates tu.

gharama na estimates zinatofautiana kulingana na aina ya wakala mfano.
ukiwa na mzigo ambao haujai container lazima uwekwe pamoja na mizigo mingine ili ijaze container moja hivyo doc ya mzigo wako atapewa yule mwenye mzigo mkubwa na wewe unatakiwa ulipie consolidation fee ili upewe doc zako toka kwa consolidator.kila consolidator ana gharama zake kuanzia usd100 -usd 200 so hapo agent anaweza aka estimate tu na wakatofautiana na mwingine.
Agent mwingine anaweza weka documentation charges tofauti na mwingine kwani hayo ni makadirio tuu,docs zako zaweza kuwa na kasoro zikahitaji Alteration haifanywi bure unalipia.

Yapo mengi tu yanayoleta tofauti.

Mkuu kumbuka mimi nilitaka ghalama za kutoa Bandarini na si kutuma, Kutuma wale walikuwa wanamaliza kila kitu,
 
Lazima ujue kuwa hizo ni cost estimates haziwezi kuwa sawa.

Pia watu wanachukua Hs code ya mzigo kisha wanafanya cost estimates tu.

gharama na estimates zinatofautiana kulingana na aina ya wakala mfano.
ukiwa na mzigo ambao haujai container lazima uwekwe pamoja na mizigo mingine ili ijaze container moja hivyo doc ya mzigo wako atapewa yule mwenye mzigo mkubwa na wewe unatakiwa ulipie consolidation fee ili upewe doc zako toka kwa consolidator.kila consolidator ana gharama zake kuanzia usd100 -usd 200 so hapo agent anaweza aka estimate tu na wakatofautiana na mwingine.
Agent mwingine anaweza weka documentation charges tofauti na mwingine kwani hayo ni makadirio tuu,docs zako zaweza kuwa na kasoro zikahitaji Alteration haifanywi bure unalipia.

Yapo mengi tu yanayoleta tofauti.

Pamoja na yote mkuu hizo gharama haziwezi kufikia mara tatu ya gharama ya hiyo mashine,pia hiyo alteration fee ni USD 5 tu mkuu,isitoshe maajenti wengi wanaodaka kazi hawaijui common external tariff kabisa,pia ni matapeli.Wenyewe wakiulizwa kodi wanataja gharama za juu kwa kuwa wanajua wateja wengi hawajui kusoma customs doc.(Tansad).Pia wanaofanya hivyo wengi hawajasomea clearing and forwarding.

Sent from my BlackBerry 9800 using JamiiForums
 
Pamoja na yote mkuu hizo gharama haziwezi kufikia mara tatu ya gharama ya hiyo mashine,pia hiyo alteration fee ni USD 5 tu mkuu,isitoshe maajenti wengi wanaodaka kazi hawaijui common external tariff kabisa,pia ni matapeli.Wenyewe wakiulizwa kodi wanataja gharama za juu kwa kuwa wanajua wateja wengi hawajui kusoma customs doc.(Tansad).Pia wanaofanya hivyo wengi hawajasomea clearing and forwarding.

Sent from my BlackBerry 9800 using JamiiForums

gharama haziwezi kufikia mara 3 ya CIF na wala haitatokea labda ushindwe kuutoa wakucharge storage.
 
Mkuu Chasha,

Uzoefu ni mwalimu mzuri just do it utajua gharama halisi na taratibu zote zinazotakiwa.

Na from my advice fanya clearance mwenyewe tafuta agent wakupitishia docs zako kisha ingia kazini.

Tusijenge uwoga kwa vitu tunavyoweza kufanya wenyewe na pia tujenge spirit ya kuwaamini wengine.Ukimuogopa kila mtu kwa kumuita tapeli haitajenga bali tutazoofika kwa woga wetu.
 
Pamoja na yote mkuu hizo gharama haziwezi kufikia mara tatu ya gharama ya hiyo mashine,pia hiyo alteration fee ni USD 5 tu mkuu,isitoshe maajenti wengi wanaodaka kazi hawaijui common external tariff kabisa,pia ni matapeli.Wenyewe wakiulizwa kodi wanataja gharama za juu kwa kuwa wanajua wateja wengi hawajui kusoma customs doc.(Tansad).Pia wanaofanya hivyo wengi hawajasomea clearing and forwarding.

Sent from my BlackBerry 9800 using JamiiForums

Mkuu,

Kumbuka vyuo hivyo vipo mda mrefu na vinatoa wahitimu kila mwaka na hizi kazi zipo mda mrefu na watu wanafanya kazi hiyo.Siamini kuwa wengi hawajui kazi hizi kwani kupata tu leseni hiyo lazima uwe na sifa za kutosha.
pia kodi unalipa mamlaka husika wewe utampa agent kodi ya serikali!mwambia akuletee doc ya TRA kalipe mwenyewe kama unawapa pesa wakulipie basi kutapeliwa tunataka wenyewe.
 
Wakuu nilikuwa na mpango wa Kuagiza mashine kutoka China na nisha pata hadi Proformal Invoice, Ila baada ya kuwasiliana na Ma agent walinipigia ghalama za kufa mtu ikiwemo kodi, Ikabidi nifuatilie TRA makao mamkuu, na wlicho nijibu ni kwamba hazilipiwi Kodi, so kumbe ni usanii wa Ma agent kutaka cha juu, so kuweni makini sana na ma agent wa Bongo wizi mwingi sana
kwa uelewa wangu ni kuwa machine zote zinazoagizwa kwa ajili ya kilimo hazilipiwi kodi hpa nchini madhalani trecta hazilipiwi na hivyo hivyo nahisi pia hizo machine za kutotolea nazo hazilipiwi
 
Wakuu nilikuwa na mpango wa Kuagiza mashine kutoka China na nisha pata hadi Proformal Invoice, Ila baada ya kuwasiliana na Ma agent walinipigia ghalama za kufa mtu ikiwemo kodi, Ikabidi nifuatilie TRA makao mamkuu, na wlicho nijibu ni kwamba hazilipiwi Kodi, so kumbe ni usanii wa Ma agent kutaka cha juu, so kuweni makini sana na ma agent wa Bongo wizi mwingi sana
mkuu ulifanikiwa kuileta, je ulilipa kodi kiasi gani?
 
Back
Top Bottom