Ndamwe
JF-Expert Member
- Jun 11, 2008
- 203
- 123
Jamani wana JF heshima kwenu wote. Mimi naomba kuuliza kuhusu uingizaji wa zana za kilimo Tanzania hususani trekta na viambatisho vyake (jembe na harrow) kutoka Ulaya. Kuna gharama ya ushuru wowote? au kuna gharama gani kuhusiana na TRA au bandarini? Naomba mwenye taarifa na ushauri wa kunisaidia ili nione katika kujibana kwangu naweza kufanikisha hitaji langu.
Natanguliza shukrani za dhati kwenu.
Natanguliza shukrani za dhati kwenu.