Kuhusu huyu aliyeuwawa kwa risasi Mahakamani Dar es salaam leo.

Herbalist Dr MziziMkavu

JF-Expert Member
Feb 3, 2009
42,318
33,125





Saa kadhaa zilizopita Polisi walimfyatulia risasi mtuhumiwa aliejaribu kutoroka baada ya kufikishwa kwenye Mahakama ya Kisutu Dar es salaam asubuhi ya December 31 2014.
Muda mfupi baadae Polisi ikatoa taarifa kwamba mtuhumiwa wa dawa za kulevya aliyeuwawa ni Abdul Koroma raia wa Sierra Leone na aliuwawa kwa risasi wakati akitoroka Mahakamani.







Polisi wa Kibongo Kwa Kupenda kuuwa Watu hodari sana.
 
Back
Top Bottom