Mkuu ukweli huwa haufichiki kamwe!!? anajua jinsi wa Tz walivyolichukulia hili! shame on himAnasema serikali ni mmoja kati ya watuhumiwa kati ya orodha ya watuhumiwa katika jaribio la kumuua ulimboka.
Sasa ni je nani mwingine ambaye katuhumiwa?
Mk.wer.e anahutubia taifa kama anaongea na wanawe au familia yake,it is disgusting!, sijui kama wenzangu mnamuelewa!
hajielewi huyu
Kinachonishangaza ni kuongelea kwa kirefu juu ya suala la mgomo wa madaktari ambalo liko mahakani.Au yeye ndiyo mahakama kama sikosei hata wabunge wamekuwa wakikatazwa kulizungumzia hilo!
Mwingine atakuwa ni serikali, pili ni wale wafuasi wake, tatu wanaojipendekeza kwa serikali, nne, wanaomlindia heshima... duuh!!Anasema serikali ni mmoja kati ya watuhumiwa kati ya orodha ya watuhumiwa katika jaribio la kumuua ulimboka.
Sasa ni je nani mwingine ambaye katuhumiwa?
Kinachonishangaza ni kuongelea kwa kirefu juu ya suala la mgomo wa madaktari ambalo liko mahakani.Au yeye ndiyo mahakama kama sikosei hata wabunge wamekuwa wakikatazwa kulizungumzia hilo!
Uko wapi uimara wake?anajielewa sana kwamba yeye ni prdnt wa jmt na si dhaifu kama wanavyofikiri wachache.
Acheni uongo nani hajamuelewa kasema sh 7.7m halipwi Dr
Ndio mwajiri, lazima aabgalie watumishi wote, mipaka yetu ipo hatarini Kenya mabomu Kanisani je kuna Dr au Mwanaharakati au Mbunge atazuia TNT kwa sindano au Bango la barabarani?
Haya
Mk.wer.e anahutubia taifa kama anaongea na wanawe au familia yake,it is disgusting!, sijui kama wenzangu mnamuelewa!