AGAPE BOY
Senior Member
- May 24, 2015
- 194
- 159
Wakuu sidhani kama niko nje sana ya maudhui ya hapa!!
Nimekuwa nikivutiwa sana na aina hii ya posts huko Facebook, unakuta picha ndo iko juu halafu caption ipo chini!! Nimejaribu kutafuta sehemu mbalimbali kuuliza utaalamu huu lakini sijawahi kupata majibu, nimejalibu hata kuwauliza wenye post hizo lakini nako hawanijibu.
Nimekuja hapa JF labda kuna mtu mwenye utaalamu huo anisaidie
Mfano ndo huo hapo chini kwenye picha
Nawasilisha
Nimekuwa nikivutiwa sana na aina hii ya posts huko Facebook, unakuta picha ndo iko juu halafu caption ipo chini!! Nimejaribu kutafuta sehemu mbalimbali kuuliza utaalamu huu lakini sijawahi kupata majibu, nimejalibu hata kuwauliza wenye post hizo lakini nako hawanijibu.
Nimekuja hapa JF labda kuna mtu mwenye utaalamu huo anisaidie
Mfano ndo huo hapo chini kwenye picha
Nawasilisha