Kuhusishwa kwa watanzani ktk mjadala wa katiba

grace shayo

New Member
Jan 18, 2012
3
0
hiv n kweli wanaopigania kuhusishwa kwa watanzania katika kujadili katiba mpya wanawapigania watanzania kwel?
 
Ni maono ya weledi kuburuza wajinga na wapumbavu kwa maslahi yaweledi.
Hasa baada ya kukosa mada hoti za kufanyia sihasa za vyama vyao.
 
Sehemu chache nchini na hasa za mijini zimepata elimu ya sheria ya mabadiliko ya katiba, maeneo mengi bado, waliopata wanataka kuijua katiba iliyopo walinganishe waamue. Mashirika ya hiari yamejitahidi kutoa elimu na bado haitoshi, nguvu na juhudi za ziada zinahitajika. Kuna tija nadhani kwa vyama vya siasa kuchangia na kuwakilishwa kwa sababu wafuasi wao ni raia wenye haki kuwakilishwa katika jambo hili. Kimsingi hakuna kundi la jamii lisilotakiwa kuwakilishwa mambo ya katiba.
 
Back
Top Bottom