Rutashubanyuma
JF-Expert Member
- Sep 24, 2010
- 219,470
- 911,174
Kinyume na ngebe za CUF na CCM kuwa wao ndiyo watagawana kura za huko taarifa za uhakika nilizozipata kwa wapenda maendeleo wa huko wangependa Dr. Slaa angalau afike makao makuu ya mikoa hiyo kabla ya uchaguzi kufunga dili ya kiutu uzima.
Taarifa hizo zinasema wakaazi wa mikoa hiyo wamechoshwa na ahadi za JK za kusisitiza matatizo yao anayafahamu sana bila ya kuwaelezea ufahamu huo umemsaidia nini na kwa nini sasa anataka waendelee kumwamini tena kwa miaka mitano ijayo wakati ameshindwa kuzitekeleza hata ahadi zake za miaka mitano iliyopita haswa kwenye eneo la uchimbaji wa visima vya maji ambapo ndicho kikwazi kikubwa cha maendeleo kwa mikoa hiyo............
Taarifa hizo zinasema wakaazi wa mikoa hiyo wamechoshwa na ahadi za JK za kusisitiza matatizo yao anayafahamu sana bila ya kuwaelezea ufahamu huo umemsaidia nini na kwa nini sasa anataka waendelee kumwamini tena kwa miaka mitano ijayo wakati ameshindwa kuzitekeleza hata ahadi zake za miaka mitano iliyopita haswa kwenye eneo la uchimbaji wa visima vya maji ambapo ndicho kikwazi kikubwa cha maendeleo kwa mikoa hiyo............