Kufungwa kwa Jukwaa la DINI

jamani kwa nini lakini? unajua wakati mwingine kichwa kikiwa hakijakaa vizuri unaenda jukwaa la dini kupat fresh air.
na litachukua muda gani mpaka kurekebishwa?
 
Wakuu,

Nasikitika kutangaza kufungwa kwa Jukwaa la Dini.

Malalamiko dhidi ya jukwaa hili yamekuwa mengi na moderators hawataweza kuvumilia kero zinazotokana na malalamiko haya.

Ukweli ni kwamba malalamiko yote yako sahihi na pia LILIKUWA NA MATATIZO ambayo dawa yake ni kulipitia upya na kuchukua hatua muhimu kwa manufaa ya wote wanaolitumia.

Izingatiwe kuwa, sheria zitazingatiwa katika kulipitia upya na lugha yoyote itakayoonekana kuwa CHAFU ama kejeli zisizo za lazima zitafutiliwa mbali na wahusika watafahamishwa.

Baada ya kulipitia jukwaa hili, litakuwa public na litakuwa chini ya uangalizi wangu na moderators wengine wawili wapya watakaotambulishwa kwenu.

Nasikitika kwa usumbufu utakaojitokeza kwa YEYOTE. Ni hatua ambayo kwa sasa haikwepeki na ni LAZIMA iwe ilivyo sasa.

Ahsanteni

Najiuliza endapo likifunguliwa and yakatokea tena ya kutokea je mheshimiwa spika OPS robot utafikia uamuzi wa kulipumzisha milele??
 
Wakuu,

Nasikitika kutangaza kufungwa kwa Jukwaa la Dini.

Malalamiko dhidi ya jukwaa hili yamekuwa mengi na moderators hawataweza kuvumilia kero zinazotokana na malalamiko haya.

Ukweli ni kwamba malalamiko yote yako sahihi na pia LILIKUWA NA MATATIZO ambayo dawa yake ni kulipitia upya na kuchukua hatua muhimu kwa manufaa ya wote wanaolitumia.

Izingatiwe kuwa, sheria zitazingatiwa katika kulipitia upya na lugha yoyote itakayoonekana kuwa CHAFU ama kejeli zisizo za lazima zitafutiliwa mbali na wahusika watafahamishwa.

Baada ya kulipitia jukwaa hili, litakuwa public na litakuwa chini ya uangalizi wangu na moderators wengine wawili wapya watakaotambulishwa kwenu.

Nasikitika kwa usumbufu utakaojitokeza kwa YEYOTE. Ni hatua ambayo kwa sasa haikwepeki na ni LAZIMA iwe ilivyo sasa.

Ahsanteni

Invisible, kwa kweli sidhani kama umetenda haki; hii ni kwa kuwa uliendesha kura ya maoni kuhusu mapendekezo ya kufunga Jukwaa la Dini na hadi jana mchana Wana JF asilimia 60 walipenddkeza kuwa lisifungwe! Sasa unaposema umelifunga, kwa nini basi uliendesha kura kutaka maoni, Je, kwa nini hukuzingatia matokeo/kura kufikia uamuzi wa kulifunga Jukwaa la Dini? Umeshindwa kuheshishimu matokeo ya kura za Wana JF na huo Mkuu, ni Udikteta!Kama umeamua kufuta Jukwaa la Dini basi utakuwa hujatenda haki kuliacha Jukwaa la Mambo ya Kikubwa maana hilo ndilo haribifu sana kwa watu wanaotembelea huko, linashawishi ufanyaji wa ngono kinyume na maadali na hivyo linahusika kwa sehemu na uchocheaji wa ngono na uenezaji wa Ukimwi, na tena kuna picha za watu wanaoingiliana kinyume cha maumbile kitu ambacho ni aibu kubwa na kinachochea uharibifu mkubwa wa maadilia na huenda kwa kuona picha hizo baadhi ya wanaJF wamejiingiza kwenye vitendo hivyo vya aibu!

Maoni na maombi yangu kwako ni kuwa uheshimu maoni na matokeo ya kura hizo, vinginevyo useme kuwa kura nyingi zilipendekeza kuwa ufunge Jukwaa la Dini (ikiwa matokea yalibadilika baada ya mchana wa jana).
 
Maoni na maombi yangu kwako ni kuwa uheshimu maoni na matokeo ya kura hizo, vinginevyo useme kuwa kura nyingi zilipendekeza kuwa ufunge Jukwaa la Dini (ikiwa matokea yalibadilika baada ya mchana wa jana).

Mkuu Ibrah,

Niliandika hivi:

Malalamiko dhidi ya jukwaa hili yamekuwa mengi na moderators hawataweza kuvumilia kero zinazotokana na malalamiko haya.

Nalenga kumaanisha kuwa ilikuwa LAZIMA iwe ilivyo kwakuwa hatungeweza endelea kubeba lawama kama hizi... Tuna mambo mengi ya kushughulikia na hili linahitaji kuangaliwa kwa karibu. Kura za liendelee lilivyo zilikuwa NYINGI kuliko nyingine lakini maamuzi yetu yamekuwa kama unavyoona.

Hatuwezi kubadili mtizamo kwa sasa, kinachotakiwa tushirikiane kuhakikisha linaporejea likawa public basi tuheshimu imani za wenzetu na kujadiliana bila kudhalilishana.

Demokrasia najua imebakwa katika hili :(
 
Wakuu,

Nasikitika kutangaza kufungwa kwa Jukwaa la Dini.

Malalamiko dhidi ya jukwaa hili yamekuwa mengi na moderators hawataweza kuvumilia kero zinazotokana na malalamiko haya.

Ukweli ni kwamba malalamiko yote yako sahihi na pia LILIKUWA NA MATATIZO ambayo dawa yake ni kulipitia upya na kuchukua hatua muhimu kwa manufaa ya wote wanaolitumia.

Izingatiwe kuwa, sheria zitazingatiwa katika kulipitia upya na lugha yoyote itakayoonekana kuwa CHAFU ama kejeli zisizo za lazima zitafutiliwa mbali na wahusika watafahamishwa.

Baada ya kulipitia jukwaa hili, litakuwa public na litakuwa chini ya uangalizi wangu na moderators wengine wawili wapya watakaotambulishwa kwenu.

Nasikitika kwa usumbufu utakaojitokeza kwa YEYOTE. Ni hatua ambayo kwa sasa haikwepeki na ni LAZIMA iwe ilivyo sasa.

Ahsanteni

Ukianza kufunga-funga majukwaa ati kwa malalamiko ya watu utajikuta unafunga yote. Wana-JF wanatakiwa wajifunze kuwa kila mtu ana mtizamo tofauti na na kwa hiyo haki kuongelea kitu kwa mtizamo wake. Na ni katika kuruhusu haya ndiyo watu wengi wanafunguka macho na kujua kipi ni kipi. Acha na watu ambao hawawezi kuvumilia ya wenzao, wakitaka yao tu. Hiyo siyo maendeleo hata kidogo.
 
Invisible, kwa kweli sidhani kama umetenda haki; hii ni kwa kuwa uliendesha kura ya maoni kuhusu mapendekezo ya kufunga Jukwaa la Dini na hadi jana mchana Wana JF asilimia 60 walipenddkeza kuwa lisifungwe! Sasa unaposema umelifunga, kwa nini basi uliendesha kura kutaka maoni, Je, kwa nini hukuzingatia matokeo/kura kufikia uamuzi wa kulifunga Jukwaa la Dini? Umeshindwa kuheshishimu matokeo ya kura za Wana JF na huo Mkuu, ni Udikteta!Kama umeamua kufuta Jukwaa la Dini basi utakuwa hujatenda haki kuliacha Jukwaa la Mambo ya Kikubwa maana hilo ndilo haribifu sana kwa watu wanaotembelea huko, linashawishi ufanyaji wa ngono kinyume na maadali na hivyo linahusika kwa sehemu na uchocheaji wa ngono na uenezaji wa Ukimwi, na tena kuna picha za watu wanaoingiliana kinyume cha maumbile kitu ambacho ni aibu kubwa na kinachochea uharibifu mkubwa wa maadilia na huenda kwa kuona picha hizo baadhi ya wanaJF wamejiingiza kwenye vitendo hivyo vya aibu!

Maoni na maombi yangu kwako ni kuwa uheshimu maoni na matokeo ya kura hizo, vinginevyo useme kuwa kura nyingi zilipendekeza kuwa ufunge Jukwaa la Dini (ikiwa matokea yalibadilika baada ya mchana wa jana).

Hapo nilipoweka reddish kala nyekundu hapo..

Sasa naanza kupata picha kwa nini kuna baadhi ya memba kati ya posts 2 moja lazima wazungumzie haya mambo ya aibu tena kwa kuyasifia. Mods wanaona lakini hawasemi kitu, wnakenua tu. Wao wanachokiona ni hili tu jukwaa la dini na imani, ambalo hata hivyo lipo mafichoni.

Hii yote ni ktk kuthibitisha andiko kuwa Mwanga ulikuja duniani, lakini watu wakachagua kiza badala yake.
 
Ukianza kufunga-funga majukwaa ati kwa malalamiko ya watu utajikuta unafunga yote. Wana-JF wanatakiwa wajifunze kuwa kila mtu ana mtizamo tofauti na na kwa hiyo haki kuongelea kitu kwa mtizamo wake. Na ni katika kuruhusu haya ndiyo watu wengi wanafunguka macho na kujua kipi ni kipi. Acha na watu ambao hawawezi kuvumilia ya wenzao, wakitaka yao tu. Hiyo siyo maendeleo hata kidogo.
Labda nirudie kauli hii ambayo niliitoa nadhani mwaka jana.

NDIYO!

Tutafunga kila sehemu itakapobidi... Soon Jukwaa la Siasa nalo litapitiwa post baada ya post kwa ajili ya kurekebisha makosa.

Mkuu, si rahisi kukubaliana hata katika hili.

OMBI: Red/Yellow/grey etc inked fonts zitumike mara chache (inapolazimu tu).
 
Labda nirudie kauli hii ambayo niliitoa nadhani mwaka jana.

NDIYO!

Tutafunga kila sehemu itakapobidi... Soon Jukwaa la Siasa nalo litapitiwa post baada ya post kwa ajili ya kurekebisha makosa.

Mkuu, si rahisi kukubaliana hata katika hili.

OMBI: Red/Yellow/grey etc inked fonts zitumike mara chache (inapolazimu tu).

wow!!
naona V imeshachomoza kwenye uso wa robot. sipati picha

Naunga mkono ufungwaji wa jukwaa la dini ila next time usiibake demokrasia mkuu tusije kuandamana na kukushikia mabango buree kama tulivyomshupalia mkuchika.

Ila pia ninapendekeza kwamba kama jukwaa la dini litarudi basi mzirudishe na baadhi ya threads ambazo hazikuwa poluted.
 
Invisible, kwa kweli sidhani kama umetenda haki; hii ni kwa kuwa uliendesha kura ya maoni kuhusu mapendekezo ya kufunga Jukwaa la Dini na hadi jana mchana Wana JF asilimia 60 walipenddkeza kuwa lisifungwe! Sasa unaposema umelifunga, kwa nini basi uliendesha kura kutaka maoni, Je, kwa nini hukuzingatia matokeo/kura kufikia uamuzi wa kulifunga Jukwaa la Dini? Umeshindwa kuheshishimu matokeo ya kura za Wana JF na huo Mkuu, ni Udikteta!Kama umeamua kufuta Jukwaa la Dini basi utakuwa hujatenda haki kuliacha Jukwaa la Mambo ya Kikubwa maana hilo ndilo haribifu sana kwa watu wanaotembelea huko, linashawishi ufanyaji wa ngono kinyume na maadali na hivyo linahusika kwa sehemu na uchocheaji wa ngono na uenezaji wa Ukimwi, na tena kuna picha za watu wanaoingiliana kinyume cha maumbile kitu ambacho ni aibu kubwa na kinachochea uharibifu mkubwa wa maadilia na huenda kwa kuona picha hizo baadhi ya wanaJF wamejiingiza kwenye vitendo hivyo vya aibu!

Maoni na maombi yangu kwako ni kuwa uheshimu maoni na matokeo ya kura hizo, vinginevyo useme kuwa kura nyingi zilipendekeza kuwa ufunge Jukwaa la Dini (ikiwa matokea yalibadilika baada ya mchana wa jana).

Mkuu Ibra ubarikiwe sana kwa mchango huo!

Hatuwezi kubadili mtizamo kwa sasa, kinachotakiwa tushirikiane kuhakikisha linaporejea likawa public basi tuheshimu imani za wenzetu na kujadiliana bila kudhalilishana
.

Robot usingeitisha kura kwa wadau kabisa au usingeweka choice ile ya kwanza! kwa ubabe huo hujatenda haki kabisa kwa wadau

Demokrasia najua imebakwa katika hili :
Mkuu hapa naona umenajisi kabisi Demokrasia!

Kwa maoni yangu, masuala ya Dini/Imani ni magumu sana kucontrol kwa sababu huwezi hata siku moja ukafanikiwa kumconvince Muislam amwone Mkristo yupo sahihi ktk kile anachoamini ni sahihi and vice versa, au hata tu mkatoliki akamwona mpentekoste yupu sahihi ktk anaolifuata!

Tofauti kati ya imani /dini moja huletwa na msingi ya dini/imani ile ambayo msingi hiyo huwa ni kama kero au chukizo au miiko ya Dini /imani nyingine.....! Tofauti hizo huzaa maneno ya kejeli, dharau, majigambo, kuchafuana baina ya watu wa dini/imani moja na nyingine!....Hili kamwe huwe kuliondoa milele....ukiweza kuondoa hili itakuwa na maana ukristo kuungana na Uislam, au wapetekoste kuwa pamoja na wakatoliki etc

So nionavyo mimi hata mkifanya marekebisho ya jukwaa hili, kejeli na kuudhiana kutakuwepo tu! cha msingi ilikuwa members wenyewe kuwa na uelewa wa kutosha kutambua misingi ya dini/imani zao na hivyo kuignore kabisa matusi au kejeli kutoka upande mwingine....wakiwa wanatambua deep in their hearts kuwa hayo matusi au kejeli au dharau si dini /imani yao ilivyo! Kama mtu anakasirika anakwzika basi ina maana kuna ukweli kuhusu hayo maudhi kny imani/dini yake!

Au mngeweka utaritibu utakaowazuia members wa imani moja kuchangia mada inayohusu imani nyingine, kwa mfano kama mimi ni Mkristo say Mkatoliki nisiruhusiwe kuchangia mada nyingine nje ya ukatoliki, na pia waislam nao wasichangie mada za kikristo...ibakie kila moja achangie mada ile tu inayohusu imani nyingine.....vinginevyo lazima migingano itokee tu, hakuna anayetaka kukubali kuwa imani yake ni feki au ya uwongo etc!

Ni mtazamo wangu tu!

Cheers
 
Najua kuwa mlikuwa mnafahamu lakini nashukuru kuwa hatimaye mmeamua (mods) kuchukua hatua ambazo zinaonekana kuwa muafaka katika hili. Lakini, kama kumbukumbu zangu zipo sahihi, hii haitakuwa mara ya kwanza kwa jukwa hili kuwekwa kwenye darubini. Naomba mtakapokuwa mnafanya mapitio, muweke mwele ukweli kuwa suala la dini linagusa imani za watu. Kwa wengine, imani hizi zimejenga kuwa misingi inayoongoza maisha yao - kwao hawa, kujaribu kuchezea imani hizi ni kuchezea maisha yao.

Lakini, mabadiliko yatakayofanyika, na hatimaye jukwaa likawa public, inabidi kutambua kuwa pamoja na 'seriousness' ya baadhi ya watu katika masuala ya dini, bado wapo ambao wanapenda kuleta mizaha (kwa nia njema tu ya kufurahisha jukwaa) lakini kuna mzaha mwingine, unaweza kutafsiriwa vibaya na mtu mwenye msimamo mkali katika masuala ya imani.

Tukumbuke pia kuwa tofauti hizi za imani ni kama lila na fila, kamwe havitengamani. Mungu ni mmoja, lakini kuna njia kadhaa wa kadhaa za kuamini message yake. Tukichukulia kwenye mzizi tu kwua Mungu ni mmoja, tukashindwa kuzingatia njia mbalimbali za kuamini ukweli huo, tutakuwa tunarudi palepale pa kuamini kuwa jukwaa linaweza kuwa daraja la kuunganisha imani tofauti wakati ukweli ni kwua hilo haliwezekani (kwa kutumia medium hii).
 
Jukwaa la kikubwa liachwe kwanza halina malalamiko...watu wanajiingilia kule kwa staha zao....dini ilikuwa ni noma...kwa vurugu japo kuwa nilikuwa na access lakini nilichangia mara moja tena kwa kufurahia majadiliano....Jukwaa la kikubwa kama hamtaki wote kwa pamoja tunyimwe access..harafu mie ntaomba mwenyewe ya kwangu....na Mr.K....kuwa tunaenda uko.
 
Robot usingeitisha kura kwa wadau kabisa au usingeweka choice ile ya kwanza! kwa ubabe huo hujatenda haki kabisa kwa wadau

Mkuu hapa naona umenajisi kabisi Demokrasia!
Mkuu Next Level,

Kuandika ILIKUWA IWE ilivyokuwa nadhani hujanisoma. Napendekeza wewe na jamaa flani hivi muwe Mods wa jukwaa hilo likirejea, litakuwa public na mweke masharti mnayoona mtaeleweka kuwa hamjainajisi Demokrasia.

Kuna wakati flani ubabe hutumika kwa manufaa ya wengi... Kuitisha kura kule ni kutekeleza wajibu lakini just imagine ndani ya kura yenyewe ukaingia mhadhara!

Aah we acha tu
 
Napendekeza wewe na jamaa flani hivi muwe Mods wa jukwaa hilo likirejea, litakuwa public na mweke masharti mnayoona mtaeleweka kuwa hamjainajisi Demokrasia.
Mkuu Robot yalikuwa ni maoni tu.....usitususie sasa jukwaa hilo, tena mimi binafsi huko huwa napitapita tu.....lkn huwa siweki michango but I like it! We malizia tu kazi ulioianza!

Kuna wakati flani ubabe hutumika kwa manufaa ya wengi... Kuitisha kura kule ni kutekeleza wajibu lakini just imagine ndani ya kura yenyewe ukaingia mhadhara!
Kama nilivyosema kwenye post ya awali, mambo ya dini kila yatakapojadiliwa na watu wa imani tofauti lazima kutokee mhadhara wa kufa mtu, kwa sababu kila mmoja atavutia kwake (kny imani yake)

Kama nilivyoshauri mwanzo, mojawapo ya mabadiliko ninayopendekeza kama mnataka kusiwe na matatizo hapa, hakikisha mnaruhusu tu, kila moja anayetaka kujadili dini ajadili au ajifunze mambo yanayohusu dini yake tu......! mimi mkristo nitachangia nini kny imani ya uislam? au muislam anafaham nini kuhusu ukristo ili achangie constructively? So the solution ni kulimit watu kny mijadala inayowahusu tu!
 
Mkuu Robot yalikuwa ni maoni tu.....usitususie sasa jukwaa hilo, tena mimi binafsi huko huwa napitapita tu.....lkn huwa siweki michango but I like it! We malizia tu kazi ulioianza

Hahaha, unaujua ugumu wa eneo hili mkuu... We acha tu, ndo maana nimeonelea nishirikishe pande zote.

Halafu nadhani baadae tutaangalia uwezekano wa kuwa na sub-categories ili kuepusha mwingiliano uliojitokeza awali.
 
Halafu nadhani baadae tutaangalia uwezekano wa kuwa na sub-categories ili kuepusha mwingiliano uliojitokeza awali.

Agreed!

Kutegemeana na hizo sub categories mtakazoweka, inaweza saidia sana kuondoa mkanganyiko uliopo!
 
Najua kuwa mlikuwa mnafahamu lakini nashukuru kuwa hatimaye mmeamua (mods) kuchukua hatua ambazo zinaonekana kuwa muafaka katika hili. Lakini, kama kumbukumbu zangu zipo sahihi, hii haitakuwa mara ya kwanza kwa jukwa hili kuwekwa kwenye darubini. Naomba mtakapokuwa mnafanya mapitio, muweke mwele ukweli kuwa suala la dini linagusa imani za watu. Kwa wengine, imani hizi zimejenga kuwa misingi inayoongoza maisha yao - kwao hawa, kujaribu kuchezea imani hizi ni kuchezea maisha yao.

Lakini, mabadiliko yatakayofanyika, na hatimaye jukwaa likawa public, inabidi kutambua kuwa pamoja na 'seriousness' ya baadhi ya watu katika masuala ya dini, bado wapo ambao wanapenda kuleta mizaha (kwa nia njema tu ya kufurahisha jukwaa) lakini kuna mzaha mwingine, unaweza kutafsiriwa vibaya na mtu mwenye msimamo mkali katika masuala ya imani.

Tukumbuke pia kuwa tofauti hizi za imani ni kama lila na fila, kamwe havitengamani. Mungu ni mmoja, lakini kuna njia kadhaa wa kadhaa za kuamini message yake. Tukichukulia kwenye mzizi tu kwua Mungu ni mmoja, tukashindwa kuzingatia njia mbalimbali za kuamini ukweli huo, tutakuwa tunarudi palepale pa kuamini kuwa jukwaa linaweza kuwa daraja la kuunganisha imani tofauti wakati ukweli ni kwua hilo haliwezekani (kwa kutumia medium hii).

Huu ni woga na kuwa na imani finyu/haba. Hakuna mtu anaweza chezea imani yako. Kaa na imani yako daima na itetee. Hakuna sababu ya ku-react mtu mwingine anapoonyesha kuwa tofauti na imani yako. Afterall, nadhani imani zote zinasema mwamuzi wa mwisho ni Mungu. Sasa wewe ukianza ku-react huku huku Duniani kwa imani za wenzako huko maeneo kwenyewe utafanya nini?! Kaa na imani yako daima na soma vitabu vyako kwa imani yako. Maneno yangu ni iamni yangu. Yasikusumbue
 
Wakuu,

Nasikitika kutangaza kufungwa kwa Jukwaa la Dini.

Malalamiko dhidi ya jukwaa hili yamekuwa mengi na moderators hawataweza kuvumilia kero zinazotokana na malalamiko haya.

Ukweli ni kwamba malalamiko yote yako sahihi na pia LILIKUWA NA MATATIZO ambayo dawa yake ni kulipitia upya na kuchukua hatua muhimu kwa manufaa ya wote wanaolitumia.

Izingatiwe kuwa, sheria zitazingatiwa katika kulipitia upya na lugha yoyote itakayoonekana kuwa CHAFU ama kejeli zisizo za lazima zitafutiliwa mbali na wahusika watafahamishwa.

Baada ya kulipitia jukwaa hili, litakuwa public na litakuwa chini ya uangalizi wangu na moderators wengine wawili wapya watakaotambulishwa kwenu.

Nasikitika kwa usumbufu utakaojitokeza kwa YEYOTE. Ni hatua ambayo kwa sasa haikwepeki na ni LAZIMA iwe ilivyo sasa.

Ahsanteni

dini ni moyo na imani ya mtu ahsanteni
 
Hapana, liachwe lilivyo tumeridhika nalo 23 60.53%
Wachaguliwe moderators toka humuhumu 1 2.63%
Invisible alipitie upya na kurekebisha inapowezekana 7 18.42%
Lifungwe kabisa, hatuwezi kubadilika ndivyo tulivyo! 7 18.42%
Voters: 38. This poll is closed

Hivi kwanini lifungwe wakati tumepigishwa kura? Jukwaa hili lilikuwa muhimu kuliko majukwaa yote hapa JF
 
Back
Top Bottom