Mlachake
JF-Expert Member
- Oct 13, 2009
- 4,412
- 4,559
Kwani man u na barc wamekutana mara ngapi na matokeo yakoje... Anaejua atujuze, japo mpira wa sasa hivi hautegemei maajabu ya historia
Huu wote ni wivu. Pole vijana wa arsenal, ila kombe linakuja traford baba