sinafungu
JF-Expert Member
- Feb 13, 2010
- 1,524
- 863
Shirika la umeme Tanzania kwa kushirikiana na bank ya Benki ya biashara ya AKIBA ,wamezindua mradi wa mikopo ya huduma kwa watu binafsi utakaojulikana kwa jina la ACB UMEME LOAN.
1. Nawauliza ninyi TANESCO mita mnazo..........?
2. maombi yaliyowasilishwa kabla na watu wameishalipia mtayamaliza lini kuwafungia umeme kabla ya kuanza utapeli huu.
3. tsh laki tano za sasa wananchi zinatushinda, huko ACB riba yake mmehakikisha tutaimudu...?
1. Nawauliza ninyi TANESCO mita mnazo..........?
2. maombi yaliyowasilishwa kabla na watu wameishalipia mtayamaliza lini kuwafungia umeme kabla ya kuanza utapeli huu.
3. tsh laki tano za sasa wananchi zinatushinda, huko ACB riba yake mmehakikisha tutaimudu...?