Kufunga tumbo utapojifungua ni muhimu saaana, that is why because siku hizi
wengi twapuuzia unakuta wadada wengi tuna vitambi...
Ukijifungua tu kuna speacial belts au hata nguo za kawaida unafunga tumbo
hua inakua very uncomfortable but ni muhimu for at least two to three months
kwa mda wa 24/7 - haitakiwi utoe hasa unapokula maana wengi hapa ndo utushinda!
Kawaida tokana na tumbo lako kubeba mtoto kwa miezi 9 tumbo hutanuka saana.
However alojifungua kwa operation haruhusiwi kufanya hivyo ndo maana wengi wana vitambi...