Kafara
JF-Expert Member
- Feb 17, 2007
- 1,396
- 411
jamaa yangu kaniomba ushauri.
anadai jana asubuhi kamwona mkewe akivaa
na kila kitu kilikuwa salama, lakini jioni mkewe
aliporudi wakati anabadilisha nguo akaona kwamba
mkewe amegeuza chupi yake nje ndani.
sasa anajiuliza imekuwaje amkewe arudi amegeuza
kufuli? au ndio jamaa wameishamsaidia!
nimemwambia ngoja nifikirie jibu. jee waungwana
mnasemaje?
anadai jana asubuhi kamwona mkewe akivaa
na kila kitu kilikuwa salama, lakini jioni mkewe
aliporudi wakati anabadilisha nguo akaona kwamba
mkewe amegeuza chupi yake nje ndani.
sasa anajiuliza imekuwaje amkewe arudi amegeuza
kufuli? au ndio jamaa wameishamsaidia!
nimemwambia ngoja nifikirie jibu. jee waungwana
mnasemaje?
Last edited: