Kufukuzwa wanafunzi 2000 mlimani

Badala ya kufurahia na kulea uwezo wa vijana wetu kufikiria wenyewe na kufikia uamuzi wao ( hasa pale wanapotofautiana na sisi) tunawa-stifle! Kwa kufanya hivi tunageuza Chuo Kikuu kuwa glorified kindergarten/kambi ya jeshi. Hii pamoja na kutaka wanafunzi hawa wajilipie? Halafu kesho tunapokuwa na technocrats ambao wanashindwa kusimamia hoja zao pale wanapoburuzwa na walio juu yao tunashangaa! Badala ya kuangalia investment ambayo jamii imeingia kuwafikisha hawa vijana hapa, tunaendekeza vi-ego vyetu. Kwa vitendo vyao, wanaoonyesha immaturity ni viongozi wa Chuo na si wanafunzi.


Amandla......
 
Wadau viongozi wa chuo hawana mpango hata kidogo wa kusaidia watoto maskini wa kitanzania kuthibitisha hilo hebu visit hapa http//www.udsm.ac.tz alafu soma tangazo lenye kichwa hiki
PROCEDURES FOR REGISTRATION OF READMITTED STUDENTS
 
Halafu wamefuta DARUSO ili waendeleze udikteta. Katiak dunia ya leo, bila ushirikishaji wa wahusika mambo hayawezi kwenda kabisa. Believe me, kukosekana kwa Serikali ya Wanafunzi kutazidisha vurugu na migomo. Ni ajabu na kweli kwamba Ma-prof, Madkt, wasomi wazima wameshindwa kuona umuhimu wa DARUSO. Hivi huyu Makenya anatokea wapi? Kenya? au
 
hao 2000 ni wamefukuzwa, waliopewa hadi tarehe kumi na tisa ni wale elfu nne na ushee ambao hawajalipa bado. Hao 2000 ni mchanganyiko wa wachache ambao hawajaleta forms zao na wengi waliojuliknana kama vinara wa mgogo
 
sorry....i mean vinara wa mgomo. Masharti waliyowekewa kurudi chuoni hata kule keko hayako. Huku nikuchukulia wanafunzi kama watu wakorofi sana.

Pia sijajua wanasheria kama wamelisikia hili la kuvunjwa kwa students organizations zote ndani ya chuo. Limekaaje hili? Ni sahihi? hii siyo mbinu tu ya ku-nulify viongozi imara wa daruso waliofukuzwa? is it possible kuibuka tu leo na kufuta organizations ambazo zilikuwepo tangu enzi za mwalimu? kama wanachukulia chuo kinaanza upya, mbona wafanayakazi nao hawakuajiriwa upya? kuna uonevu hapa tena wa hali ya juu na ni kwa sababu wanajua watanzania sio watu wakufuatilia sheria.....labda Mtikila tu ndio exceptional
 
sorry....i mean vinara wa mgomo. Masharti waliyowekewa kurudi chuoni hata kule keko hayako. Huku nikuchukulia wanafunzi kama watu wakorofi sana.

Pia sijajua wanasheria kama wamelisikia hili la kuvunjwa kwa students organizations zote ndani ya chuo. Limekaaje hili? Ni sahihi? hii siyo mbinu tu ya ku-nulify viongozi imara wa daruso waliofukuzwa? is it possible kuibuka tu leo na kufuta organizations ambazo zilikuwepo tangu enzi za mwalimu? kama wanachukulia chuo kinaanza upya, mbona wafanayakazi nao hawakuajiriwa upya? kuna uonevu hapa tena wa hali ya juu na ni kwa sababu wanajua watanzania sio watu wakufuatilia sheria.....labda Mtikila tu ndio exceptional
 
Hivi karibuni Mheshimiwa Pinda alipiga marufuku ununuzi wa mashangingi na akajulishwa kuwa wakati anatoa tamko hilo mashangingi 700 yapo njiani. Sasa kwa nini yakifika dar port yasipigwe mnada wanafunzi wasome bure. Sasa naanza kuamini kuwa hawa viongozi wetu wa juu hakuna mwenye uchungu na walalahoi vinginevyo wangekemea na kuzuia haya yanayofanywa na viongozi wa vyuo dhidi ya watoto wa walalahoi wa nchi hii. Lakini naamini ipo siku tutapata uhuru tena kama sio katika sanduku la kura 2010 basi huenda ikawa kwa njia nyingine (na hii itakuwa mbaya sana) lakini ni kabla ya uchaguzi wa 2015
 
Back
Top Bottom