Tangawizi
JF-Expert Member
- Jun 25, 2009
- 5,173
- 3,896
Hivi mnamjua vizuri Malema? Huyu jamaa ni political striker isipokuwa ni mla rushwa mkubwa pia. Alipokosea ni pale alipoanzisha move ya kumng'oa Zuma ili makamu wa rais apewe madaraka.
Siamini kabisa katika uongozi wa watu wa aina ya Malema kwenye karne yetu hii. Na jinsi anavyopendwa ANC wana kazi kubwa kukilinda chama chao
Siamini kabisa katika uongozi wa watu wa aina ya Malema kwenye karne yetu hii. Na jinsi anavyopendwa ANC wana kazi kubwa kukilinda chama chao