Kaitaba
JF-Expert Member
- Jun 30, 2009
- 916
- 52
Nafikiri kuna tofauti kati ya kufufuka na kurudi msukule,
Mara nyingi tunachanganya, Binti wa mwanza na yule wa moshi hawajafufuka ila wamerudi msukule,
Aliyefufuka ni yule aliyekufa kweli kwelii na kisha kurudia uhai,( Mfano Jesus)
Ila aliyechukuliwa msukule, akionekana tena huyo anakuwa amerudi msukule sio kafufuka
Tusihalibu kiswahili.
Mara nyingi tunachanganya, Binti wa mwanza na yule wa moshi hawajafufuka ila wamerudi msukule,
Aliyefufuka ni yule aliyekufa kweli kwelii na kisha kurudia uhai,( Mfano Jesus)
Ila aliyechukuliwa msukule, akionekana tena huyo anakuwa amerudi msukule sio kafufuka
Tusihalibu kiswahili.