Mchosis
JF-Expert Member
- Oct 25, 2012
- 247
- 66
We sio mzima hata kidogoMIMI NAFIKIRI ILI KUTHIBITISHA KAMA NI KOSA KISHERIA, MLETA THREAD TEMBEA NA MKE WA MTU NA UKAMATWE, HALAFU UTALETA MREJESHO KAMA NI KOSA LA JINAI/MADAI AU NI RUKSA
We sio mzima hata kidogoMIMI NAFIKIRI ILI KUTHIBITISHA KAMA NI KOSA KISHERIA, MLETA THREAD TEMBEA NA MKE WA MTU NA UKAMATWE, HALAFU UTALETA MREJESHO KAMA NI KOSA LA JINAI/MADAI AU NI RUKSA
Vyovyote vile, ni kwamba yule mgoni wako anakua amejiondoa, kwani yeye kazi yake iliishia kumwaga tu zile manii kwenye kichupa na kumpa mkeo aende nazo hospitali na kumdunga nazo, either kalipwa au kazigawa bure manii zake that is irrelevant, point is anakuwa amejitoa hatiani, kwahiyo mtiti unabaki kwenu wanandoa.Sasa hiyo IVF alifanyiwa by force au?
labda mbadili mkataba wa ndoa uwe "waume na mke".N
Anakua wa kwetu wote ila utabaki nae ww
Huo sio ushahidi Mkuu. Ushahidi unaokubalika Mahakamani ni RED HANDED tena kwa macho yako (sio ya kuambiwa wala video records). Najua utastaajabu lakini huo ndo ukweliIkiwa nimezifuma jumbe kwenye simu ya mke/mume wangu zikithibitisha walifanya ugoni, je sio ushahidi huo?
hahaaaaa we jamaa bhanaKwaiyo hii inakua kama transfer charges tuuh eeeh
Na je uliemlawiti anaweza kwenda kukufungulia mashotaka kua umemlawiti?Unless umewafumania wanagededana live na ushahidi upo, haya mambo huwa magumu sana na unaweza kushauriwa tu ukafile kuomba divorce. No wonder watu hujichukulia sheria mkononi na kuwa.lawiti wagoni wao.
Kwa wacha Mungu ni kosa kubwa sana kutembea na Mke wa Mtu au Mme wa Mtu.Ndugu wasomi wa Sheria,
Naomba kufahamishwa juu ya mada husika hapo juu.
Kama jibu ni ndiyo, adhabu yake ni ipi?
Hahaha, wewe ulitaka akudhulumu kimbele na maumbile, kwani ulichofanya ni kizuri?Sio kosa, ila cha kushangaza Mtu akikufuma na Mkewe anakudhulumu kinyume na maumbile.
Nasikia kwa Tanzania Bara sio jinai, ila Tanzania Visiwani ni jinai!
Huo sio ushahidi Mkuu. Ushahidi unaokubalika Mahakamani ni RED HANDED tena kwa macho yako (sio ya kuambiwa wala video records). Najua utastaajabu lakini huo ndo ukweli
sio kosa la jinai, ila unawezafungulishwa kesi ya madai ukalipa fedha etc. pia ni dhambi na ni hatari kwa maisha yako.Ndugu wasomi wa Sheria,
Naomba kufahamishwa juu ya mada husika hapo juu.
Kama jibu ni ndiyo, adhabu yake ni ipi?
DuuuuhUjinga mtupu. Nikikufuma na mke wangu walaa sikufanyi jambo baya. Natenganisha kichwa na mwili. Weye si ndiyo unajidai unajua papuchi? Ok. Mimi fwala sana? Kwa nini usitafute wako? Umenidharau? Poa.
Mwakatauli mkombe? Tusitoe adhabu kubwa kwa wezi wa wake zetu mkuu. After all, the deads are dumbs, hawalii. Hutulia tuliiii!Duuuuh
Madhara gani watu kufanya mapenzi. Funguka kidogo mkuuHuo ni ugoni. Kwa mujibu wa Sheria, utawajibika kulipa madhara kutokana kitendo chako