Leonard Robert
JF-Expert Member
- Apr 22, 2011
- 11,064
- 7,196
unaona ambavyo huelewi maana ya future? wewe unajua kusoma ni kupata cheti tu.! kazana umalize shule uje huku uraiani uprove maneno yangu
jibu maswali yangu..sio kunitisha na huko uraiani,najua nyie ndio mnaowashauri ndugu zenu wasome ualimu eti wapate ajira..we hamna kitu..eti wazazi wanakuchagulia fani,wewe umesoma kwa matakwa ya wazazi? Kama ndivyo hufai kuitwa msomi alafu subiri wazazi wako wakitanguli mbele ya haki(siwaombei) utakoma!