Papaa Mobimba
JF-Expert Member
- Jan 27, 2018
- 754
- 3,097
Wananchi wa Kalebezo kata ya Nyarubungo Wilaya ya Biharamulo, wakigawana kitoweo baada ya maafa ya radi kuua ng'ombe 16, mali ya Richard Daudi.
Ajali hiyo ilitokea Januari 13 mwaka.
Ajali hiyo ilitokea Januari 13 mwaka.