white wizard
JF-Expert Member
- May 18, 2011
- 8,317
- 13,282
Kwa wale mashabiki wenzangu wa man utd ,mwaka huu tuhesabu maumivu tu,kwani kwa mpira niliouona jana! na huu ushindi wa kibao kimoja kimoja basi!
Kwani timu wazee wamekuwa wengi ukianzia rio fedinand,carrik, flecher,mwaka huu hata UEFA robo fainali hatufiki,ni bora tutolewe mapema tubaki kwenye ligi,carling cup na FA,kwani huko tunakokwenda tutakutana na timu kama MADRID, au BARCA tupate kipigo cha mbwa mwizi tena,bora tukubali mapema,JAMANI RED DEVIAL INAANGAMIA!
Kwani timu wazee wamekuwa wengi ukianzia rio fedinand,carrik, flecher,mwaka huu hata UEFA robo fainali hatufiki,ni bora tutolewe mapema tubaki kwenye ligi,carling cup na FA,kwani huko tunakokwenda tutakutana na timu kama MADRID, au BARCA tupate kipigo cha mbwa mwizi tena,bora tukubali mapema,JAMANI RED DEVIAL INAANGAMIA!