B51
JF-Expert Member
- Jan 1, 2019
- 573
- 782
Deja Vu!?
Deja Vu!?
Pouwa takujibu keshoNisamehewe nipo nje ya mada.
Mkuu nimejaribu kuku-pm nikuulize issue ya PVC window kama unaendelea nayo kuna sehemu nilikusoma ukisema unazo,bado zipo?
Sawasawa,nitarudi hapa kukukumbusha
Ngoja nimalize kazi zangu nitarudi?Umewahi kusikia juu ya mikataba ya kiroho? Inachukua sehemu kubwa katika kuamua jinsi tunavyojiumba kama watu tukiwa hapa Duniani.
Kabla ya kila kuzaliwa kwetu duniani, tumepewa chaguo. Ni chaguo la kuchagua kusudi la maisha yetu ya kiroho; tunaulizwa ni somo gani tungependa kujifunza wakati huu na jibu tunalotoa huamua maisha yetu hapa duniani.
Na mikataba ya nafsi hufanywa kulingana na somo tulilochagua. Tukiamua kujifunza subira, hatutazungukwa na watawa na wenye Hekima, bali na ndugu au jamaa ambao watatuudhi na kutukera hadi kufa.
Ikiwa tunataka kujifunza upendo, tutaona chuki kwenye kila pito letu, na ikiwa tunataka kupata hali ya kujiamini, basi mafarakano yatakuja na kutukanyaga kila mahali. Haijalishi ni somo gani tunataka kujifunza, tutapewa kinyume chake…daima!
Katika uwanna mkubwa wa miunganisho ya wanadamu, mahusiano fulani yanajitokeza, yakitoa ishara ambazo ni vigumu kuvunja.
Zinavuta hisia zetu kwa njia ambazo hatuwezi kueleza, zikiibua hisia ngeni sana, zenye mvuto ama msukumo wa aina yake, na kututikisa hisia zetu za ndani.
Hebu fikiria unakutana na mtu kwa mara ya kwanza na kuhisi mvuto wa ajabu. Au, kwa upande mwingine, chuki ya papo hapo na isiyoelezeka. Je hizi ishara zina uhusiano wowote na mikataba yetu ya kiroho kabla ya kuzaliwa?
Ni kama wimbo ambao mashairi yake huwezi kuyakumbuka kabisa, lakini wimbo huo ala na midundo yake vinakusisimua kwa namba ya pekee sana ndani yako. Haya hayatokei kwa bahati mbaya ni mwangwi wa maisha ya zamani yanayojirudia katika maisha yako ya sasa.
Karibu kwenye ulimwengu unaovutia na mara nyingi wenye misukosuko wa miunganisho ya kiroho. Katika safari hii ya kuelimishana, tutafunua kiini cha vifungo vya maisha ya kiroho, kuchunguza kile kinachosema nasi ndani mwetu, ishara na matokeo yake na kutambua ishara za mahusiano ya kiroho. Je, uko tayari kutafakari
Yani mwandishi nipo halafu unauliza chanzo cha habari? Tena unasema kabisa hakijulikani?
Je unajua nini juu ya DNA!?
Je unajua nini juu ya umbilical cord !?
Je unajua nini juu ya vizazi?
Vipi kuhusu realm of eternity?
Sent using Jamii Forums mobile app
Sorry mkuu ila nadhani nimekujibuMkuu sijasema chanzo “hakijulikani”
Soma vizuri swali langu lipo wazi
Mimi nataka kujua UMEJUAJE KUWA TUNAINGIA MIKATABA YA KIROHO kabla hatujazaliwa?
Tiles zipo PVC zipo lakini sio nyingi mkuu.. Sorry for late replySawasawa,nitarudi hapa kukukumbusha
Hiko hivi:Sijaelewa hili somo kwa kweli.
Food for thoughtHiko hivi:
Kabla ya wewe kuumbwa, roho yako inatengezwa mfano siku ukija duniani uwe nani, uishi wapi, ufe kivipi.
Yaani hayo unayofanya na kuyapitia yameshaandikwa huko
Huwezi kuyabadilisha, ?Hiko hivi:
Kabla ya wewe kuumbwa, roho yako inatengezwa mfano siku ukija duniani uwe nani, uishi wapi, ufe kivipi.
Yaani hayo unayofanya na kuyapitia yameshaandikwa huko
Kule umeshaandikwa huyu jamaa Mwanamena atakuja kuwa jambazi sugu.Huwezi kuyabadilisha, ?
NakuelewaUmewahi kusikia juu ya mikataba ya kiroho? Inachukua sehemu kubwa katika kuamua jinsi tunavyojiumba kama watu tukiwa hapa Duniani.
Kabla ya kila kuzaliwa kwetu duniani, tumepewa chaguo. Ni chaguo la kuchagua kusudi la maisha yetu ya kiroho; tunaulizwa ni somo gani tungependa kujifunza wakati huu na jibu tunalotoa huamua maisha yetu hapa duniani.
Na mikataba ya nafsi hufanywa kulingana na somo tulilochagua. Tukiamua kujifunza subira, hatutazungukwa na watawa na wenye Hekima, bali na ndugu au jamaa ambao watatuudhi na kutukera hadi kufa.
Ikiwa tunataka kujifunza upendo, tutaona chuki kwenye kila pito letu, na ikiwa tunataka kupata hali ya kujiamini, basi mafarakano yatakuja na kutukanyaga kila mahali. Haijalishi ni somo gani tunataka kujifunza, tutapewa kinyume chake…daima!
Katika uwanna mkubwa wa miunganisho ya wanadamu, mahusiano fulani yanajitokeza, yakitoa ishara ambazo ni vigumu kuvunja.
Zinavuta hisia zetu kwa njia ambazo hatuwezi kueleza, zikiibua hisia ngeni sana, zenye mvuto ama msukumo wa aina yake, na kututikisa hisia zetu za ndani.
Hebu fikiria unakutana na mtu kwa mara ya kwanza na kuhisi mvuto wa ajabu. Au, kwa upande mwingine, chuki ya papo hapo na isiyoelezeka. Je hizi ishara zina uhusiano wowote na mikataba yetu ya kiroho kabla ya kuzaliwa?
Ni kama wimbo ambao mashairi yake huwezi kuyakumbuka kabisa, lakini wimbo huo ala na midundo yake vinakusisimua kwa namba ya pekee sana ndani yako. Haya hayatokei kwa bahati mbaya ni mwangwi wa maisha ya zamani yanayojirudia katika maisha yako ya sasa.
Karibu kwenye ulimwengu unaovutia na mara nyingi wenye misukosuko wa miunganisho ya kiroho. Katika safari hii ya kuelimishana, tutafunua kiini cha vifungo vya maisha ya kiroho, kuchunguza kile kinachosema nasi ndani mwetu, ishara na matokeo yake na kutambua ishara za mahusiano ya kiroho. Je, uko tayari kutafakari
Fungua PM tafadhali bro kuna jamaa nikupe mawasiliano yake ana uhitaji nazo yupo hapo town muone kama mtaweza kufanya biashara.Tiles zipo PVC zipo lakini sio nyingi mkuu.. Sorry for late reply
Sent using Jamii Forums mobile app
Mi nafikiri vizazi vyetu hivi hata vya miaka mingi huko nyuma ndiyo watekelezaji au sehemu ya utelekelezaji wa hiyo mikataba ya kiroho kwa kufuata mtiririko wa DNA zetu ila hao mababu zetu ambao hata hatuwajui kwa sura pengine hata kwa majina yao ndiyo walikuwa na hizo.chaguziUmewahi kusikia juu ya mikataba ya kiroho? Inachukua sehemu kubwa katika kuamua jinsi tunavyojiumba kama watu tukiwa hapa Duniani.
Kabla ya kila kuzaliwa kwetu duniani, tumepewa chaguo. Ni chaguo la kuchagua kusudi la maisha yetu ya kiroho;
Oya mkuu umenifungua kitu kipitia hili andiko lako, ubarikiwe sana