osmaney
JF-Expert Member
- Jan 18, 2017
- 1,041
- 998
Mtambo wenyewe wa kuzima laini umekwama bandarini
emb tuendelee kula bata
Sent using Jamii Forums mobile app
emb tuendelee kula bata
Sent using Jamii Forums mobile app
Mimi nimezimiwa.
Mtambo wenyewe wa kuzima laini umekwama bandarini
emb tuendelee kula bata
Sent using Jamii Forums mobile app
Hapa nipo siku zote mbongopopo.Umerudi lini nchini?
Asante.
Mimi au TCRA?
Ulina makoye. Tutakufuata huko huko London.Aman iwe nanyi
Mbona hawazimi tiar saa sita saiz
Zimen kama kweli mnaweza
LONDON BOY
Sent using Jamii Forums mobile app
Kama una namba za Makonda mpigie simu aende na bunduki kabisa kama alivyofanya Clouds fm. Wafanyakazi wa TCRA watakuwa wamelala tu.