Akili Kichwani
JF-Expert Member
- Jan 7, 2010
- 1,508
- 216
Wapendwa kama mjuavyo, hatimaye majuzi nilimkamata yule kuku niliyekuwa nikimkimbiza kwa ajili ya kumfanya kitoweo na sasa yuko mikononi mwangu hapa. kuku mwenyewe nikimgeuza huku na huko namwona kanona kila idara. Lakini ishu iko kwenye kisu cha kuchinjia!
hiki kisu changu ni butu kwani huko nyuma kimechinja kuku wengi sana hivyo kinahitaji kunolewa kwa ajili ya huyu kuku kwani naona amenona sana. Sasa ninatatizwa na kitu kimoja hapa:
1. Ninoe kisu nikiwa nimemshikilia?au ataniponyoka na kukimbia tena? manake namwona bado ana nguvu za kukimbia.......
2. Nitafute kwanza kamba nimfunge ndo nikanoe kisu? Si nitachelewa kula jamani na njaa yote hii na kuku mwenyewe kanona hivi?
3. Nimchinje hivyohiivyo na kisu butu? Si nitamuumiza jamani na kumuongezea mateso tu kwa kumcheleweshea .......? watetezi wa haki za wanyama wataniacha kweli?
Sasa naomba ushauri wenu bandugu, nifanyeje?
hiki kisu changu ni butu kwani huko nyuma kimechinja kuku wengi sana hivyo kinahitaji kunolewa kwa ajili ya huyu kuku kwani naona amenona sana. Sasa ninatatizwa na kitu kimoja hapa:
1. Ninoe kisu nikiwa nimemshikilia?au ataniponyoka na kukimbia tena? manake namwona bado ana nguvu za kukimbia.......
2. Nitafute kwanza kamba nimfunge ndo nikanoe kisu? Si nitachelewa kula jamani na njaa yote hii na kuku mwenyewe kanona hivi?
3. Nimchinje hivyohiivyo na kisu butu? Si nitamuumiza jamani na kumuongezea mateso tu kwa kumcheleweshea .......? watetezi wa haki za wanyama wataniacha kweli?
Sasa naomba ushauri wenu bandugu, nifanyeje?