Mzee Dogo
JF-Expert Member
- Nov 13, 2010
- 400
- 140
Ninaomba wataalam na wazoefu wa mambo haya wanisaidie kwa hili, ni kweli watu wanaofanya mazoezi makali sana na ya muda mrefu wana matatizo ya kuchelewa kufika kileleni?
Kama ndvyo ni kwa nini hasa? na kama sivyo mazoezi yana mchango gani katika mapenzi?
Kama ndvyo ni kwa nini hasa? na kama sivyo mazoezi yana mchango gani katika mapenzi?