Kuchelewa kufika kileleni..

Mzee Dogo

JF-Expert Member
Nov 13, 2010
400
140
Ninaomba wataalam na wazoefu wa mambo haya wanisaidie kwa hili, ni kweli watu wanaofanya mazoezi makali sana na ya muda mrefu wana matatizo ya kuchelewa kufika kileleni?
Kama ndvyo ni kwa nini hasa? na kama sivyo mazoezi yana mchango gani katika mapenzi?
 
Mkuu kwanza nikusahihishe. Kwa mtizamo wangu kuchelewa kufika kilele sio tatizo, tatizo ni kuwahi kufika (Mwanaume). Hili inawezekana linaukweli kidogo, lakini kunawazembe sana ktk mazoezi ila 6x6 usipime. swala la hili in most cases linakuwa associated na saikolojia.
 
Mkuu kwanza nikusahihishe. Kwa mtizamo wangu kuchelewa kufika kilele sio tatizo, tatizo ni kuwahi kufika (Mwanaume). Hili inawezekana linaukweli kidogo, lakini kunawazembe sana ktk mazoezi ila 6x6 usipime. swala la hili in most cases linakuwa associated na saikolojia.

Ok, nashukuru kwa usahihisho wako, may be ni kiwango gani cha mazoezi ambacho ni reasonable kwa mwanaume ili kisiweze kumsababishia shida hizo za kumuacha mwenzake?
 
Pia nasikia wanawake wenye mazoezi makali wanachelewa sana kufika kileleni, hili likoje wadau?
 
Ok, nashukuru kwa usahihisho wako, may be ni kiwango gani cha mazoezi ambacho ni reasonable kwa mwanaume ili kisiweze kumsababishia shida hizo za kumuacha mwenzake?
Kaka ni kweli tatizo sio kuchelewa kwa mwanamume kufika kileleni tatizo ni unapowahi kabla mwenzi wako hajafika....ila isikupe shida una weza kufanya zoezi dogo ila linahitaji concentration. Chini ya kende za mwanaume upande wa kulia karibia na njia ya haja kuna mshipa unaoitwa pubococcygeus muscle ambayo inacontrol flow of urine na kipindi cha ejaculation. Jitahidi kichunguza na ukijisjia kupeez bana huo mshipa kwa muda iyo hali itapotea na utaanza kusex upya. you can get two orgasm in one. Yni bao mbili kwa moja. or read more on http://www.pcmuscle.org
 
Hii njia kweli haina madhara?
Kaka ni kweli tatizo sio kuchelewa kwa mwanamume kufika kileleni tatizo ni unapowahi kabla mwenzi wako hajafika....ila isikupe shida una weza kufanya zoezi dogo ila linahitaji concentration. Chini ya kende za mwanaume upande wa kulia karibia na njia ya haja kuna mshipa unaoitwa pubococcygeus muscle ambayo inacontrol flow of urine na kipindi cha ejaculation. Jitahidi kichunguza na ukijisjia kupeez bana huo mshipa kwa muda iyo hali itapotea na utaanza kusex upya. you can get two orgasm in one. Yni bao mbili kwa moja. or read more on http://www.pcmuscle.org
 
Kaka ni kweli tatizo sio kuchelewa kwa mwanamume kufika kileleni tatizo ni unapowahi kabla mwenzi wako hajafika....ila isikupe shida una weza kufanya zoezi dogo ila linahitaji concentration. Chini ya kende za mwanaume upande wa kulia karibia na njia ya haja kuna mshipa unaoitwa pubococcygeus muscle ambayo inacontrol flow of urine na kipindi cha ejaculation. Jitahidi kichunguza na ukijisjia kupeez bana huo mshipa kwa muda iyo hali itapotea na utaanza kusex upya. you can get two orgasm in one. Yni bao mbili kwa moja. or read more on http://www.pcmuscle.org

Ok thanx kwa ushauri, so inabidi uchomoe mdudu then uutafute ndipo uupige roba, three in one inaruhusiwa?
 
Hivi kwani tatizo la kuhitimisha mapema halipo kwa girls? Mbona linalalamikiwa sana kwa boys peke yetu...
 
It is all about psychological factors, concetrate when performing and have funny!
 
Concentration inapokuwa kubwa pale kitandani mi nadhani unaweza hata kujifunga mwenyewe badala ya kumfunga mtu, unaonaje kama mtu ukifanya ile kitu halafu una mawazo ya stress za kazini, aaahhh, aisee unaweza kesha?
 
Mimi nadhani ukisikilizia utamu kwa saaana mapema ndio unamaliza mapema, hivyo mwanzoni wewe sugua sugua tu ila baadaye ukiona demu iko tayari ndipo nawe vuta hisia kunako kitu. Lakini bao la kwanza kama hujapata ile kitu muda mrefu ni ngumu kulibana, hapo itabidi demu asibubiri tu bao la pili ili nae afaidi.
 
Mimi nadhani ukisikilizia utamu kwa saaana mapema ndio unamaliza mapema, hivyo mwanzoni wewe sugua sugua tu ila baadaye ukiona demu iko tayari ndipo nawe vuta hisia kunako kitu. Lakini bao la kwanza kama hujapata ile kitu muda mrefu ni ngumu kulibana, hapo itabidi demu asibubiri tu bao la pili ili nae afaidi.

Hivi hakuna namna ya kulizuia maana yake halichelewi kuchafua njia, au linatakiwa kupigiwa kwa kondom halafu the second one ndo likashuhudia mtanange wa ukweli
 
jaman nais nna tatizo mbegu znachelewa kutoka mwenzenu naweza nkasex hata masaa matatu lakin mbegu ni za kutafuta...nkilala na mwanamke mpaka anaisivmaumivu na situmii kondomu...msaada jaman wanardhka ila nais ni tatizo mbegu znachelewa sana
 
Hivi kwani tatizo la kuhitimisha mapema halipo kwa girls? Mbona linalalamikiwa sana kwa boys peke yetu...

Tatizo hilo halipo kwa wanawake, na likiwepo halitakuwa tatizo! Hii ni kwa kuwa mke akifika mapema kabla ya mume, hiyo haimzuii mume kuendelea na mchezo na hivyo kupelekea mke kufikia vilele vingi, na hiyo ni raha mpaka basi! Mume akifika kileleni mapema ni tatizo kubwa sana maana huo ndio mwisho wa safari mpaka baada ya dakika kadhaa, hivyo kumwacha mke njiani! Hiyo husababisha kero kubwa!
 
Back
Top Bottom