Mhariri Mtendaji wa magazeti ya MwanaHALISI na Mseto, Saed Kubenea akichukuliwa vipimo na mmoja wa wahudumu wa hospitali ya Apollo nchini India kabla ya kupelekwa kwenye chumba cha upasuaji . Kubenea yuko nchini India kwa matibabu ya macho yalitotokana na kumwagiwa tindikali. Tayari amefanya upasuaji huo jana.