Kubeba vyakula ili kulia maofisini ni uvivu na un-sociality behavior!

mkonowapaka

JF-Expert Member
Feb 19, 2010
1,493
767
huwa nakerwa sana na hii tabia ya wazee hadi vijana kubeba lunch boxes kutokea majumbani mwao.......mchakula wa jana jioni unapashwa moto saa 7 mchana unaliwa ofisini..kila mtu na bakuli lake harufu yake ndani hakukaliki........wengi watakuja na sababu zao,,but i thought lunch time ulikua ni wakati mzuri zaidi wa watu kusocialize,kunyoosha miguu,kukutana na department zingine,na ofkoz kupata some fresh food!!
 
Wacha ushamba wako- eti kupata fresh food. Who told u chakula cha jana jioni is bad. Do you have an idea under the sun if the food u eat out is absolutely fresh?

Go enywhere in europe, People prepare their own meals. Kwanza ni salama zaidi na unaweza kuconrol/kubalance the food types tofauti na hotelini mostly junk au oily.Tatu ni cheaper. imagine kutoa 5000 everyday kula peke yako , bado maji, bado matunda , roughly u may use >100,000 kwa mwezi at minimal.

Kuhusu harufu : Well kama hamna common/kitchen room ya kulia lazima iwe tatizo

Antisocial: Nope , I disagree. U can eat ur home made lunch and still chat with friends and spare some minutes to walk outside .
 
Watu tunajenga huko majumbani unafikili wote tuna mashauzi kama wewe alafu inaelekea kuna kademu ka department nyingine unakavizia lunch umeliwa kama ndo hivyo. Msosi ofisini bei ndogo una budget ya elfu tano ujinga gani huo hujui tunasomesha english media?
 
Wacha ushamba wako- eti kupata fresh food. Who told u chakula cha jana jioni is bad. Do you have an idea under the sun if the food u eat out is absolutely fresh?

Go enywhere in europe, People prepare their own meals. Kwanza ni salama zaidi na unaweza kuconrol/kubalance the food types tofauti na hotelini mostly junk au oily.Tatu ni cheaper. imagine kutoa 5000 everyday kula peke yako , bado maji, bado matunda , roughly u may use >100,000 kwa mwezi at minimal.

Kuhusu harufu : Well kama hamna common/kitchen room ya kulia lazima iwe tatizo

Antisocial: Nope , I disagree. U can eat ur home made lunch and still chat with friends and spare some minutes to walk outside .
Ama kweli maisha magumu na rahisi, ni wewe tu uamue yawe vipi (lunch 5,000/=??)
 
umegusa eneo la watu rafiki utashambuliwa mpaka ha ha ha

kama ofisi fulani mtu amebeba kapu lina hotpot tatu viazi vya kuchemsha vya chai, kisamvu na ugali wa mchana akimaliza vyote anapiga usingizi kidogo ha ha ha ha ha ha.
 
I just Love this..
Mimi nimeanza kubeba chakula last Month...Najuuta kuchelewa ... sijui nilikuwa wapi...
manake nakula maakuli ya wife saaafi na tunasave hela mingi sana...
wewe usietaka kubeba kama huna wa kukupikia na hujui kupika utajiju...

JINGA Wewe..
 
Mtoa mada utakuwa unalako jambo. Kwenye jamii ya watu wengi huwezi furahisha kila mtu, kama ofisi haijazuia watu kula maofisini hasa kwa huku town posta watu wengi wankula ofcn kwa kuagiza maklina au kuja na kontena zao hasa wanaofanya diet. Baada ya dakika ishirini za mlo mtu yuko free kusoma gazeti, kusinzia, kutoka nje na kupeuzi madukani, kufanya window shopping n.k. Na ofisi nyingi zenye nafasi zina jiko na microwave na sink so usafi ukizingatiwa hakuna shida yoyote, wenzio wakiwa wanapasha viporo vyao wewe nenda kale nje ili usisikie harufu za viporo.

Kwa taarifa yako vyakula vingi vya kununua ni vya jana yake yaani vilivyobakia jana, sasa bora ule kiporo chako au cha kununua chenye hamira?

Pia watu wanasave cost za lunch na kujipatia mwanya wa kula unachotaka na si kula kilichopikwa hovyo huku umelipia pesa. Pole kwa shida unayopata.

USHAURI: Jaribu kuwapa ofa siku moja hiyo ofisi yako au idara yako wote kwamba mkale mahali fulani na wewe ulipie kila kitu mradi tu wasibebe take away wale hapo hapo restaurant/kiosk/hotelini. Hii itawamotivate wapende kula nje kama watavutiwa.
 
Wacha ushamba wako- eti kupata fresh food. Who told u chakula cha jana jioni is bad. Do you have an idea under the sun if the food u eat out is absolutely fresh?

Go enywhere in europe, People prepare their own meals. Kwanza ni salama zaidi na unaweza kuconrol/kubalance the food types tofauti na hotelini mostly junk au oily.Tatu ni cheaper. imagine kutoa 5000 everyday kula peke yako , bado maji, bado matunda , roughly u may use >100,000 kwa mwezi at minimal.

Kuhusu harufu : Well kama hamna common/kitchen room ya kulia lazima iwe tatizo

Antisocial: Nope , I disagree. U can eat ur home made lunch and still chat with friends and spare some minutes to walk outside .

Dah, umeugusa mtima wangu ... sina hata cha kuchangia tena kwa huyu kiumbe ... kila kitu umekisema, uzuri wa JF kabla next time hajaleta hoja yake thaifu ajitafakari kwanza! Thx ...
 
I have a cute red lunch box with lilies on its cover.

Lunch time nashuka nacho bustanini na wenzangu, najilia burdan wa sharaba
 
I just Love this..
Mimi nimeanza kubeba chakula last Month...Najuuta kuchelewa ... sijui nilikuwa wapi...
manake nakula maakuli ya wife saaafi na tunasave hela mingi sana...
wewe usietaka kubeba kama huna wa kukupikia na hujui kupika utajiju...

JINGA Wewe..

Kuna tafiti zinaonesha wafanyakazi wa maofisini wanatumia robo na wengine nusu ya mishahara yao kwa kula wakiwa ofcn hapo bado hawajaacha hela za kula nyumbani. Angalia wahindi mjini walioajiriwa au walio kwenye biashara zao hadi maji ya kunywa wanabeba yaani hatumii hela kwenye kula wakati bajeti ya kula inaachwa nyumbani. Wale wenye biashara zao ndio maana wanafunga maduka mchana na kurudi saa nane au saa tisa, pale wanaenda home kula na kulala, ndio maana huwezi kuta mhindi anakaa mbezi beach au kimara wote wanakaa town posta au upanga au kisutu just walking distance au bicycle ride.

Utashangaa wahindib hawa hawa jioni au week end wanatoka na familia zao kula bata its good habit sio kuwa hawana hela ila health care.
 
umegusa eneo la watu rafiki utashambuliwa mpaka ha ha ha

kama ofisi fulani mtu amebeba kapu lina hotpot tatu viazi vya kuchemsha vya chai, kisamvu na ugali wa mchana akimaliza vyote anapiga usingizi kidogo ha ha ha ha ha ha.
hahahahahaaaaa kapu la mahotpot duu, hapo umesahau chupa ya uji kbs.
 
Hahahahahahahahahahahaha
jf daima!


Watu tunajenga huko majumbani unafikili wote tuna mashauzi kama wewe alafu inaelekea kuna kademu ka department nyingine unakavizia lunch umeliwa kama ndo hivyo. Msosi ofisini bei ndogo una budget ya elfu tano ujinga gani huo hujui tunasomesha english media?
 
Back
Top Bottom