Kubeba vyakula ili kulia maofisini ni uvivu na un-sociality behavior!

HA ha ha ha, yale makapu ya plastik au ya ukili?

Na atashambuliwa kweli

Imagine watoto home wana makontena ya shule, na baba una kapu lako?

umegusa eneo la watu rafiki utashambuliwa mpaka ha ha ha

kama ofisi fulani mtu amebeba kapu lina hotpot tatu viazi vya kuchemsha vya chai, kisamvu na ugali wa mchana akimaliza vyote anapiga usingizi kidogo ha ha ha ha ha ha.
 
Hahahahahahahahahahaha
menafikiri maisha ndio yanafanya mambo yawe hivyo mtu akiangalia budget yake anaona bora kubeba!

umegusa eneo la watu rafiki utashambuliwa mpaka ha ha ha

kama ofisi fulani mtu amebeba kapu lina hotpot tatu viazi vya kuchemsha vya chai, kisamvu na ugali wa mchana akimaliza vyote anapiga usingizi kidogo ha ha ha ha ha ha.
 
Aiseee,

I just Love this..
Mimi nimeanza kubeba chakula last Month...Najuuta kuchelewa ... sijui nilikuwa wapi...
manake nakula maakuli ya wife saaafi na tunasave hela mingi sana...
wewe usietaka kubeba kama huna wa kukupikia na hujui kupika utajiju...

JINGA Wewe..
 
Hivi unajua kama kila mtu ana kipato na matuzi yake?


huwa nakerwa sana na hii tabia ya wazee hadi vijana kubeba lunch boxes kutokea majumbani mwao.......mchakula wa jana jioni unapashwa moto saa 7 mchana unaliwa ofisini..kila mtu na bakuli lake harufu yake ndani hakukaliki........wengi watakuja na sababu zao,,but i thought lunch time ulikua ni wakati mzuri zaidi wa watu kusocialize,kunyoosha miguu,kukutana na department zingine,na ofkoz kupata some fresh food!!
 
HA ha ha ha, yale makapu ya plastik au ya ukili?

Na atashambuliwa kweli

Imagine watoto home wana makontena ya shule, na baba una kapu lako?

Is it so strange?

Mimi ninezowea itakuwa, babaangu alikuwa na lunch box yake.

Tukifungiwe sisi ya kubeba chekechea na yeye yake

Nami baba watoto nitamfanyia, coz I think it's so sweet
 
huwa nakerwa sana na hii tabia ya wazee hadi vijana kubeba lunch boxes kutokea majumbani mwao.......mchakula wa jana jioni unapashwa moto saa 7 mchana unaliwa ofisini..kila mtu na bakuli lake harufu yake ndani hakukaliki........wengi watakuja na sababu zao,,but i thought lunch time ulikua ni wakati mzuri zaidi wa watu kusocialize,kunyoosha miguu,kukutana na department zingine,na ofkoz kupata some fresh food!!

kweli ni kero na haipasi kuwa hivyo! nchi kama Zambia wana utaratibu wa lunch hours. ikifika saa 7 kamili ofisi zinafungwa hadi saa 8 kamili. one hr hiyo inatumiwa na wafanyakazi kutoka nje ya ofisi kwenda kula!
 
huwa nakerwa sana na hii tabia ya wazee hadi vijana kubeba lunch boxes kutokea majumbani mwao.......mchakula wa jana jioni unapashwa moto saa 7 mchana unaliwa ofisini..kila mtu na bakuli lake harufu yake ndani hakukaliki........wengi watakuja na sababu zao,,but i thought lunch time ulikua ni wakati mzuri zaidi wa watu kusocialize,kunyoosha miguu,kukutana na department zingine,na ofkoz kupata some fresh food!!

Hizi hasira za mama ntilie aliyekumbana na kadhia ya watu kuoa na hivyo kutonunua tena chakula ofisini
 
Wanchekeshaaaaa!

Vyakula vya mahotelin havina ishu vingi ni junk, bora home made.

Pia ni expensive sn, watu wengi huishia kula chips ambazo bei haiko juu sn.

Ni njia mojawapo ya kufanya saving na kupunguza matumiz lol
Mfano:
- Unapaki gari tsh 300 kwa saa X 8 hrs
_ chai 2000 (minimum)

-Lunch 6000, pamoja na maji

- vocha ... (Kulingana na matumizi yako)

Fanya mara siku 30...



Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
Different Strokes for Different Folks..,

Kila mtu anasababu ya kufanya anachopenda wote hatupo sawa, so long as furaha yako haingii kwenye uhuru wa wengine, ila kama kuna mtu chakula chake kinafanya ofisi kubadilika kuwa kama jiko au kunuka shombo ni kupeana ushauri either kwenda canteen kama ipo au kuleta vyakula visivyo na shombo au kero kwa wengine
 
Watu tunajenga huko majumbani unafikili wote tuna mashauzi kama wewe alafu inaelekea kuna kademu ka department nyingine unakavizia lunch umeliwa kama ndo hivyo. Msosi ofisini bei ndogo una budget ya elfu tano ujinga gani huo hujui tunasomesha english media?

Wewe! Anavizia kademu?

Kwani yeye mwenyewe huyu ni wa kiume? Loh!
 
Good for you kama unaweza

Niliishi mahali ilikuwa lazima ubebe lunch box
Na si kwamba chakula hakuna, kilikuwa kinaandaliwa ni mie tu kwenda na kontena langu waniwekee
Maana hakukuwa na sehemu ya kununua chakula, nilifanya siku 2 za mwanzo nilipokuwa mgeni

Baada ya hapo sikuweza tena, niliacha

Imenikalia vibaya sana sijui kwa nini? Hapa napofanya huwa naona akina mama na vikontena asubuhi
Nawashangaa mno na kuwatania, uzuri tumezoea kutaniana

But, siwezi jipatia picha na lunch box kabisa

Is it so strange?

Mimi ninezowea itakuwa, babaangu alikuwa na lunch box yake.

Tukifungiwe sisi ya kubeba chekechea na yeye yake

Nami baba watoto nitamfanyia, coz I think it's so sweet
 
comment zimenichekesha.mishahara hii,kubana matumizi muhimu.kuna kaka mmoja yeye alikuwa anatembea kwa miguu mwendo mrefu anasema anafanya mazoezi,kumbe ana save mpaka nauli.silaumu kwa sababu kila mtu ana maisha yake.wengine wana majukumu mengi
 
Good for you kama unaweza

Niliishi mahali ilikuwa lazima ubebe lunch box
Na si kwamba chakula hakuna, kilikuwa kinaandaliwa ni mie tu kwenda na kontena langu waniwekee
Maana hakukuwa na sehemu ya kununua chakula, nilifanya siku 2 za mwanzo nilipokuwa mgeni

Baada ya hapo sikuweza tena, niliacha

Imenikalia vibaya sana sijui kwa nini? Hapa napofanya huwa naona akina mama na vikontena asubuhi
Nawashangaa mno na kuwatania, uzuri tumezoea kutaniana

But, siwezi jipatia picha na lunch box kabisa

Mimi pia sifanyi kila siku, lakini I'm very picky when it comes to food na nataka kiwe healthy pia.

Kwa hiyo siku nyengine ninabeba cha kuongezea tu kama vegetable salads or fruit salads, or fresh juice niliyoteneneza nyumbani
 
mchakula wa jana jioni unapashwa moto saa 7 mchana unaliwa ofisini..kila mtu na bakuli lake harufu yake ndani hakukaliki........

Halafu ukute mtu kaleta seafood kama tuna au salmon na macaroni and cheese.

Hapo break-room lazima iteme. Ila kubeba chakula ni very economical ingawa mi sibebi.
 
comment zimenichekesha.mishahara hii,kubana matumizi muhimu.kuna kaka mmoja yeye alikuwa anatembea kwa miguu mwendo mrefu anasema anafanya mazoezi,kumbe ana save mpaka nauli.silaumu kwa sababu kila mtu ana maisha yake.wengine wana majukumu mengi

That guy made a virtue out of necessity! Good for him.
 
sioni shida kwa mtu kuleta chakula chake isipokuwa pawepo na sehemu ya kulia kupunguza harafu ya vyakula mbalimbali vilivyoletwa
 
Wacha ushamba wako- eti kupata fresh food. Who told u chakula cha jana jioni is bad. Do you have an idea under the sun if the food u eat out is absolutely fresh?

Go enywhere in europe, People prepare their own meals. Kwanza ni salama zaidi na unaweza kuconrol/kubalance the food types tofauti na hotelini mostly junk au oily.Tatu ni cheaper. imagine kutoa 5000 everyday kula peke yako , bado maji, bado matunda , roughly u may use >100,000 kwa mwezi at minimal.

Kuhusu harufu : Well kama hamna common/kitchen room ya kulia lazima iwe tatizo

Antisocial: Nope , I disagree. U can eat ur home made lunch and still chat with friends and spare some minutes to walk outside .

Informed post chap!! If u want to eat safe and clean (prepared in a hygienic condition) food, eat home made food. Some people "claim" to be very strict on the type of oil they use for cooking at home, lakini kazini wanafyeka misosi bila hata kujua mafuta gani wamepikia huko wanakokula, halafu wanajisifu eti wako-social, lunchtime wanatoka. Baada ya miaka miwili tu kazini vipala!!
 
Labda ushauri kwa wale wanaobeba chakula kinachokuwa kero kwa wenzao...

lunch time usifanye kama picnic.., kama unaweza asubuhi unapiga mlo wa nguvu (iwe pilau yako, mihogo, ugali au samaki, au maharage) kwenye lunch box weka kitu light, just a snack (mfano sandwich, mikate, muhogo au matunda, na maji yako au home made juice)

Hio snack ya mchana na breakfast ya nguvu ya asubuhi itakuvusha mpaka usiku ukirudi nyumbani na kula makande yako, wenzetu waganda wanapiga breakfast ya nguvu home. Mchana wanapiga maji au drink tu (kumbuka chakula cha hotelini sio safe kivile kama cha nyumbani)
 
Back
Top Bottom